Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
Habari za sunday wana mmu?
Ni hivi leo shemeji yangu yaani mke wa jamaangu kaja akilalamika kuwa mme wake katembea na mtoto wa kaka yake aliyekuja kuwatembelea baada ya kuhitimu kidato cha nne(huyo binti ni mtoto wa kakaake tumbo moja),
pamoja na hilo anadai kuwa aliwahi kutembea na binti mwingine anayemwita mama mdogo siku za nyuma japo alikuja gundua baadaye,
pia kuhusu mabeki tatu anadai kuwa yeye huwa anaweka vitoto vidogo ndio maana labda hajihusishi navyo,kiufupi huyo dada ni mzuri, mweupe mrefu mwembamba na analipa vzr na wote ni waajiriwa,
pia huyo jamaa yey ni kijana aliyeingia ktk ndoa akiwa na miaka 21,na ni kijana mwenye mvuto,mtaratibu ,anayejiendeleza kielimu na ni mpenda maendeleo,
sasa huyo dada anaomba ushauri kuhusu kuwaeleza ndugu zake juu ya tabia ya mme wake halafu ndio aachane na mme wake japo nnavyomuona hawezi kumuacha kwani anaonesha kumpenda na kumhitaji sana kwani wana mtoto mmoja mwenye miaka 5,
naomba mnisaidie namna ya kumshauri huyu dada leo jioni juu ya hilo tatizo lake pia hili jambo naona kwenye jamii zetu naona kama lipo sana.nawakaribisha.
Ahsanteni
Ni hivi leo shemeji yangu yaani mke wa jamaangu kaja akilalamika kuwa mme wake katembea na mtoto wa kaka yake aliyekuja kuwatembelea baada ya kuhitimu kidato cha nne(huyo binti ni mtoto wa kakaake tumbo moja),
pamoja na hilo anadai kuwa aliwahi kutembea na binti mwingine anayemwita mama mdogo siku za nyuma japo alikuja gundua baadaye,
pia kuhusu mabeki tatu anadai kuwa yeye huwa anaweka vitoto vidogo ndio maana labda hajihusishi navyo,kiufupi huyo dada ni mzuri, mweupe mrefu mwembamba na analipa vzr na wote ni waajiriwa,
pia huyo jamaa yey ni kijana aliyeingia ktk ndoa akiwa na miaka 21,na ni kijana mwenye mvuto,mtaratibu ,anayejiendeleza kielimu na ni mpenda maendeleo,
sasa huyo dada anaomba ushauri kuhusu kuwaeleza ndugu zake juu ya tabia ya mme wake halafu ndio aachane na mme wake japo nnavyomuona hawezi kumuacha kwani anaonesha kumpenda na kumhitaji sana kwani wana mtoto mmoja mwenye miaka 5,
naomba mnisaidie namna ya kumshauri huyu dada leo jioni juu ya hilo tatizo lake pia hili jambo naona kwenye jamii zetu naona kama lipo sana.nawakaribisha.
Ahsanteni