mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
wana JF. Kuna article moja nimesoma kuwa usalama wa taifa wamesomea zaidi jinsi ya kudhibiti upinzani nchini zaidi ya jinsi ya kulinda usalama wa taifa. Wapinzani wawe makini sana na simu zao, makazi yao, mipango yao, na maisha yao. Usalama wa taifa ndo chanzo cha kuua democrasia na kukandamiza haki tanzania. Tuwe waangalifu na mtu yeyote anayeitwa usalama wa taifa, yupo zaidi wa maslahi yake mwenyewe na kuilinda ccm pamoja na wezi wake