Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Idara hii inahitaji mabadiliko makubwa. Sasa hivi watu wanachukua advantage ya matatizo ya Kikwete na kila mmoja anajifanya ndiyo bosi wa usalama wa taifa. Huku kina RO na wenzao wanalinda zaidi maslahi ya kundi la sasa lililoko madarakani kama vile kina Apson walivyolinda kundi lao.