Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Ukitaka usalama na mkeo usiulize idadi ya rafiki zake wa kiume kabla ya ndoa.
Akijipodoa usimtazame na akimaliza umsifie.
Mpe fedha kwenda dukani lakini usifuatane naye.
Ukinunua nyama usihesabu vipande vya hiyo nyama.
(source: 'Jungu kuu halikosi ukoko',kitabu hiki kimeandikwa na Balozi Christopher Liundi,a very interesting book!)
Akijipodoa usimtazame na akimaliza umsifie.
Mpe fedha kwenda dukani lakini usifuatane naye.
Ukinunua nyama usihesabu vipande vya hiyo nyama.
(source: 'Jungu kuu halikosi ukoko',kitabu hiki kimeandikwa na Balozi Christopher Liundi,a very interesting book!)