Usalama barabarani............trafiki wako wapi?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
01_11_47wpka.jpg
Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Oysterbay, Dar es Salaam, Rashid Omary, akisimamisha magari ili wanafunzi wenzake wavuke katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Oysterbay. Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamend Mpinga ameuzindua mfumo huo wa wanafunzi kujivusha wenyewe.(Picha na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi).
 
Nilifikiri usalama barabarani ni zaidi ya wiki ya kwenda kwa usalama........................

01_11_47wpka.jpg
 
01_11_47wpka.jpg
Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Oysterbay, Dar es Salaam, Rashid Omary, akisimamisha magari ili wanafunzi wenzake wavuke katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Oysterbay. Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamend Mpinga ameuzindua mfumo huo wa wanafunzi kujivusha wenyewe.(Picha na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi).

Ya kawaida hayo mbona hata 1st world countries wanafanya mbona. Afadhali wanafunzi wenyewe wafanye wakiwekwa trafic wa bongo wataishia kuomba rushwa hata kusiko husika wataacha kufanya kazi waliyotumwa mimi naona ni sawa tu.
 
"Very well disciplined" tunaomba tuu madereva waheshimu na hii pia siyo tuu wakiona nguo nyeupe ndiyo wasimame.
 
Matrafiki baadaye walijitokeza kuunga mkono....na ikapendeza zaidi.................................................

<table width="100%" align="left" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr bgcolor="#ffffff"><td class="kaziBody" bgcolor="#ffffff">Thursday Jan 27, 2011
</td> </tr> <tr bgcolor="#ffffff"> <td class="kaziBody" bgcolor="#ffffff">
01_11_cunf6g.jpg
</td> </tr> <tr bgcolor="#ffffff"> <td class="kaziBody" bgcolor="#ffffff">KUMBUKUMBU Standard six pupil, Saida Mwalimu (third left) practises the method of helping her colleagues to cross the road on zebra during the practical lesson conducted by traffic police officers in collaboration with CRDB bank in Dar es Salaam on Wednesday. Pupils were taught safety road regulation and appeal was made for drivers to adhere on driving ethics to avoid an unnecessary accidents. (Photo by Robert Okanda)</td></tr></tbody></table>
 
Ya kawaida hayo mbona hata 1st world countries wanafanya mbona. Afadhali wanafunzi wenyewe wafanye wakiwekwa trafic wa bongo wataishia kuomba rushwa hata kusiko husika wataacha kufanya kazi waliyotumwa mimi naona ni sawa tu.

Madereva wa first world wanaheshimu sheria za barabarani. Kwa mfano ukienda Ugerumani mtembea kwa miguu sheria inamlinda zaidi kuliko mwenye gari. Ukisababisha ajali unanyanywa lesseni yako na faini juu. Hapa kwetu madereva hajui na hawafuati sheria za barabarani ndio maana ajali haziishi.
 
Back
Top Bottom