Kufuatia kuibuka kwa kampuni feki za nje hapa tanzania na kuisababishia serikali hasara kubwa.je, kwa taratibu za usajili wake chini ya sheria ya Makampuni ya 2002 yaani (THE COMPANIES ACT, 2002) zinakidhi katika kusajili makampuni ambayo hayana ofisi au kusjiliwa yanakotoka.? Wewe una maoni gani.