ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
This is just another example of a "leader", who is out of touch. Tanzania hakuna msongamano wa magari, infact Tanzania kuna upungufu wa magari na vyombo vya usafiri kwa ujumla. Kilichokuwepa Dar es Salaam and only in Dar es Salaam ni upungufu wa barabara. Kungekuwa na msongamano wa magari watu wasingegombania daladala posta kila siku mpaka akidamama na heshima zao wanalazimika kuruka madirisha! Ofcourse mtu anayeendeshwa na DFP hawezi kujua haya and unfortunately yeye ndiye anayepewa jukumu la kutatua the seemingly msongamano!!!
Kuzungumzia magari ya miaka mitano tu kupewa leseni ni vitimbi kama sio kejeli.
Kuzungumzia magari ya miaka mitano tu kupewa leseni ni vitimbi kama sio kejeli.