Hapa something wizi sijui ngoja tuvute subira.
Adui ameishaiingilia online registration. ukiishaingia pale kama ukurasa wenyewe Anti virus inablock ile page
wataalamu wa ICT huko CDM rekebisheni mara moja
Quality
Dada mafilili umepotea kweli kweliChadema huo ni ubabaishaji, website ni mgogoro tu
CHADEMA ni kama hewa kwa sababu imeenea kila mahali hadi mbingun
.Poti vipi poti....mbona umeamua na kutaja jina lako kabisa hapo kwenye fb peji poti