Wenye tetesi usaili wa NHIF ni lini?
mmh haya tuone
huyo jamaa nimemckia, anataka 50,000Kuna jamaa anafanya kazi hapo nakwambia akataka kunitapeli kwani aliniambianimtumie CV pamoja na pesa ili ampe hr niingie kazini bila interview! Jamaa nkamwambia anifanyie mpango then kama ntapata kazi ntamuachia salary ya miezi mitatu!! Yaan kapotea mpaka Sasa! Namba na jina kapuni!
fanya kama umesahau mkuu, si unajua kazi zenyewe za kibongo unawezakuta watu washaanza kazi hafu wewe unasubilia short list. kwan post zenyewe zilikua ngapi vile? mi niliapply IT Officer ila nshasaau cos post yenyewe ilikua 1 nafikili.