Usaili St. John's University

pufray

Member
Nov 2, 2011
10
0
Jamani wadau,naomba kufahamishwa kama St john university dom walishaita waombaj kwenye interview...Ntashukuru kwa msaada!
 
Niliomba Administrative officer mkuu .Wakiita 2peane taarifa humu ndani basi!
 
Mi nlishasahau hata ka nlituma maombi nkajua watu washaanza mzigo kumbe bado? Acha niendelee kupiga goti.
 
Back
Top Bottom