wadau na wanajf kwa ujumla,anaomba juwajulisha kuwa kwa wale walioomba nafasi za ukarani na usimamizi wa sensa majina yamebandikwa ofsi za watendaji wa kata na kesho ni siku ya usaili hasa kukagua vyeti kuanzia saa moja asubuhi.kwa wale waajiriwa usaili utafanyika katika ofsi za waajiri wao.
muhimu ni kufika na vyeti vyako origino kama ulivyoambatanisha vivuli vyake katika form ya maombi.
source:mimi mwenyewe nipo kata ya kawe na jina langu limetoka.
muhimu ni kufika na vyeti vyako origino kama ulivyoambatanisha vivuli vyake katika form ya maombi.
source:mimi mwenyewe nipo kata ya kawe na jina langu limetoka.