Habari wana JF, hivi kuna mtu anajua tetesi zozote kuhusu usahili wa nafasi za kwenda polisi zilizotangazwa mwezi wa saba? Maana niliona tangazo kwa ajili ya form six na four wakiitwa kwenye usahili vp kuhusu watu wa vyuo, wamepotezea ama bado tu?
kwema! vuta subra bado wanafanya usahili wa six na four kwa awamu ya pili ile ya kwanza ilifanywa na makamanda wa mikoa wale waliopenya wanafanyiwa usahili wa pili na maofsa toka makao makuu ya jeshi la polisi na zoezi linaendelea mikoani toka wiki yote hii, wakimaliza ndo wanakuja kwenu graduate.
Wanachukua toka jkt this time,kama unataka nafasi hizo anzia jkt ndugu yangu
Wanachukua toka jkt this time,kama unataka nafasi hizo anzia jkt ndugu yangu
kwema! vuta subra bado wanafanya usahili wa six na four kwa awamu ya pili ile ya kwanza ilifanywa na makamanda wa mikoa wale waliopenya wanafanyiwa usahili wa pili na maofsa toka makao makuu ya jeshi la polisi na zoezi linaendelea mikoani toka wiki yote hii, wakimaliza ndo wanakuja kwenu graduate.
Huo usail unafanyika kwa taratibu zipi kaka , tuibie maujuzi kidogo bhasi
Wanachukua toka jkt this time,kama unataka nafasi hizo anzia jkt ndugu yangu