Jamani tumezoea kusikia vituko vingi kuhusu Jeshi letu la polisi na namna wanavyo-make pesa kila wanapopata nafasi, sasa sikia hii, Jeshi na polisi walitangaza nafasi za kazi mwezi January, last week wamewapigia shortlisted candidates ili waende kurasini katika chuo chao kwa ajili ya interview, hii itafanyika tarehe 19 April 2011.
Sasa kituko hiki, Jamaa alipoga simu anawaambia waenda na
1.Vyeti Origino - hii kawaida
2.Picha - hii kawaida
3.Pesa, Elfu kumi - mh hapa polisi mko offside, hawa si wanatafuta hela ndo maana wakaomba kazi, sasa iweje tena mnawaambia walete hela? wenyewe wanadai eti ni kwa ajili ya vipimo, aaah mi nnavojua vipimo si ni baada ya kupass interview tena gharama huwa inabebwa na Mwajiri? hey police, tuambieni hii ndo nini?
Sasa kituko hiki, Jamaa alipoga simu anawaambia waenda na
1.Vyeti Origino - hii kawaida
2.Picha - hii kawaida
3.Pesa, Elfu kumi - mh hapa polisi mko offside, hawa si wanatafuta hela ndo maana wakaomba kazi, sasa iweje tena mnawaambia walete hela? wenyewe wanadai eti ni kwa ajili ya vipimo, aaah mi nnavojua vipimo si ni baada ya kupass interview tena gharama huwa inabebwa na Mwajiri? hey police, tuambieni hii ndo nini?