Ndo ishakula kwako, cz walitaka kujua wale waliomba bado wanaitaji? Na je wanakaa mtaa gani? Ili wajue kila mtaa wapange wangap kutokana na list watakayoitaji, na wote 2liandika majina, so kama wataitaj watachagua toka kwa hayo majina ya alhamis..ways 2meambiwa majibu j3.
of course kama hujatokea kwenye usaili ndo basi tena kwa sababu hata kwenye tangazo lao la ijumaa wamesema kwa wale waliofanya isaili waende jumatratu kuangalia majina yao sasa kama hata usali hukufanya unategemea nini?ndo basi tena!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.