K kimboka one JF-Expert Member Jan 23, 2010 734 85 Feb 20, 2012 #21 wakipeleka na bus,wadai bar,clab,madem,nk.bora wapewe chao tu.japo si kiasi kibwa hivyo
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Feb 20, 2012 #23 na VX V8 unataka apande nani????
Henge JF-Expert Member May 14, 2009 6,933 1,510 Feb 20, 2012 #24 Mnataka mtuludishe kwenye umasikini wabunge wenu jamani acheni wivu wa kike by WABUNGE!
HOMOSAPIEN JF-Expert Member Mar 31, 2011 745 271 Feb 20, 2012 #25 Lakini ndiyo maendeleo kwenda na VX ila mmezidisha mbona majirani zetu wanaennda na VW au Pegeot
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,160 Feb 20, 2012 #26 huo ndo usafiri wa ukweli.... inabidi kuwakodia shabiby hawa.....