Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,435
- 113,444
Wanabodi,
Kuna hili nimelishuhudia kwenye usafiri wetu wa anga wa kimataifa, ndio maana nauliza ni tunaibiwa, au tunasaidiwa kwa sababu wenyewe hatuwezi?.
Kwenye usafiri huu wa kimataifa, kila nchi inapewa haki ya international routes na protection ya local routes ili kulinda mashirika ya nchi yasimezwe na mashirika makubwa.
Katika route ya Afrika Kusini, kuna shirika moja jipya linajiita Com Air linafanya biashara kubwa ya kusafirisha abiria kati ya Dar na J'burg kwa bei poa.
Nauli ya kawaida ya return ticket ya Dar-J'burg -Dar ni Dola 700 lakini nauli ya Com Air ni Dola 300!.
Ndege inakuja Dar mara tatu kwa wiki kila Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Inatua saa 7:30 za usiku na kutuka saa 8:30 za usiku, yaani inakuja na kuondoka kama mwizi!.
Mahali tunapoibiwa ni hapa!. Kumbe hili shirika linalojiita Com Air, sio lolote, si chochote bali ni Ndege ya BA inayotoka London kupitia Dar kuelekea J'burg!.
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa za usafiri wa anga, ndege inayopitia Tanzania kwa utaratibu wa Via, hairuhusiwi kubeba abiria local, inatakiwa kushusha tuu na kuendelea na safari yake badala ya kusanya abiria wa Tanzania kwa nusu bei!.
Inawezekana wizi huu unafanywa kwa nia njema kwa vile flag carrier yetu ATC haina uwezo wa kupeleka ndege yake ya ngama safari ndefu, hivyo BA imeamua kuokoa jahazi japo kwa kijiita Com Air matokeo yake ni kuwa hata ATC ikifufuka, itaishia kukosa abiria kwa sababu haitaweza kihimili ushindani huu wa nusu bei!.
Pia ikumbukwe Tanzania hatuna tena ile route yetu ya London bado inahodhiwa na SAA kwa kisingizio cha kifidia hasara iliyosababishwa na Alliance Air!. Sasa hata ATC ikifufuka, itapumulia wapi?.
Kitu kingine kibaya kabisa hawa Com Air wanachowatendea Watanzania ni menu yao ya ndani ya ndege. Wanatangaza kuwa ni beef lakini menu inayokuja ni sausages za 'mkuu wa meza'!. Masikini wenzetu kwa vile hawawezi kuzijua, hujilia kwa imani beef ya wenzetu ni nyeupe, laini na ina ladha sana!. Japo mimi ni Mkristu lakini hili sio kuwatendea haki wenzetu.
Nawasilisha.
Pasco
Pretoria.
Kuna hili nimelishuhudia kwenye usafiri wetu wa anga wa kimataifa, ndio maana nauliza ni tunaibiwa, au tunasaidiwa kwa sababu wenyewe hatuwezi?.
Kwenye usafiri huu wa kimataifa, kila nchi inapewa haki ya international routes na protection ya local routes ili kulinda mashirika ya nchi yasimezwe na mashirika makubwa.
Katika route ya Afrika Kusini, kuna shirika moja jipya linajiita Com Air linafanya biashara kubwa ya kusafirisha abiria kati ya Dar na J'burg kwa bei poa.
Nauli ya kawaida ya return ticket ya Dar-J'burg -Dar ni Dola 700 lakini nauli ya Com Air ni Dola 300!.
Ndege inakuja Dar mara tatu kwa wiki kila Jumatatu, Jumatano na Ijumaa. Inatua saa 7:30 za usiku na kutuka saa 8:30 za usiku, yaani inakuja na kuondoka kama mwizi!.
Mahali tunapoibiwa ni hapa!. Kumbe hili shirika linalojiita Com Air, sio lolote, si chochote bali ni Ndege ya BA inayotoka London kupitia Dar kuelekea J'burg!.
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa za usafiri wa anga, ndege inayopitia Tanzania kwa utaratibu wa Via, hairuhusiwi kubeba abiria local, inatakiwa kushusha tuu na kuendelea na safari yake badala ya kusanya abiria wa Tanzania kwa nusu bei!.
Inawezekana wizi huu unafanywa kwa nia njema kwa vile flag carrier yetu ATC haina uwezo wa kupeleka ndege yake ya ngama safari ndefu, hivyo BA imeamua kuokoa jahazi japo kwa kijiita Com Air matokeo yake ni kuwa hata ATC ikifufuka, itaishia kukosa abiria kwa sababu haitaweza kihimili ushindani huu wa nusu bei!.
Pia ikumbukwe Tanzania hatuna tena ile route yetu ya London bado inahodhiwa na SAA kwa kisingizio cha kifidia hasara iliyosababishwa na Alliance Air!. Sasa hata ATC ikifufuka, itapumulia wapi?.
Kitu kingine kibaya kabisa hawa Com Air wanachowatendea Watanzania ni menu yao ya ndani ya ndege. Wanatangaza kuwa ni beef lakini menu inayokuja ni sausages za 'mkuu wa meza'!. Masikini wenzetu kwa vile hawawezi kuzijua, hujilia kwa imani beef ya wenzetu ni nyeupe, laini na ina ladha sana!. Japo mimi ni Mkristu lakini hili sio kuwatendea haki wenzetu.
Nawasilisha.
Pasco
Pretoria.