hahaha, hao ndo kikosi cha mwamvuli ama cha maturubai? sasa kunusa na pua kwao haina madhara? manake polisi wamezoea kutumiwa tu hawajiulizi! kule usukumani mbona wangenusa kisanduku cha mtu wakakutana na joka wakagongwa pua,lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.