Rafikikabisa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 252
- 47
Adui Mkubwa wa watanzania ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) hiki chama ni kichaka cha kufichia majambazi.
Ukiwa na kichaka karibu yako kikawa kinakusumbua kinachohitajika ni kuhakikisha hicho kichaka hicho kinaondoka.
Kuondoa UFISADI Tanzania ni kuondoa Chama Cha Mapinduzi.
Inabidi kuangalia katika sheria kama kuna sehemu tunaweza kuhitumia kufanya Chama Cha Mapinduzi kuwa kimepoteza sifa za kuwa chama cha siasa Tanzania hivyo kifutwe katika daftari la Msajiri wa vyama vya siasa.
Ukiwa na kichaka karibu yako kikawa kinakusumbua kinachohitajika ni kuhakikisha hicho kichaka hicho kinaondoka.
Kuondoa UFISADI Tanzania ni kuondoa Chama Cha Mapinduzi.
Inabidi kuangalia katika sheria kama kuna sehemu tunaweza kuhitumia kufanya Chama Cha Mapinduzi kuwa kimepoteza sifa za kuwa chama cha siasa Tanzania hivyo kifutwe katika daftari la Msajiri wa vyama vya siasa.