Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
hizi zinazofanyika uku TZ n zip mkuu maana naona watu wanasafisha
Sawasawa ila zina gharama sana khasa kwa mtu wa kipato cha chini.
hizi zinazofanyika uku TZ n zip mkuu maana naona watu wanasafisha
Inawezekana ukawa na ugaga (calculus)kwenye meno ndio sababu ya hiy harufu hiyo ambayo huwa haiondoki mpaka hizo calculus ziondolewe kitaalam katika dental clinicKuna mtu wangu wa karibu sana amabe yeye hupiga mswaki kila asubui na anapolala usiku lakini hua anakua na harufu mbaya sana ya mdomo..tatizo linaweza kua ni nini na anawezaje kupata tiba ya hilo tatizo mkuu.
Mhh mwenzenu mouthwash imenishinda,nasikia kalii sana mdomoni inachomaa chomaa sanaa, nishajaribu ile Listerine sijui inaitwa it was unbearable...Huo ushauri wa mouthwash sikubaliani nao.
Tokea niko mdogo kabisa hata darasa la kwanza sijaanza nilikuwa natumia mouthwash na mpaka leo hii mbona sina tatizo la maonjo!
Zipo nyingi tu ambazo ziko less intense. Hata za Brand ya Listerine zipo. Ni kusoma label inasemaje.Mhh mwenzenu mouthwash imenishinda,nasikia kalii sana mdomoni inachomaa chomaa sanaa, nishajaribu ile Listerine sijui inaitwa it was unbearable...
Aina ipi ya mouthwash haiumizi? Na unaitumia mara ngapi kwa siku,..
Oh okay,Zipo nyingi tu ambazo ziko less intense. Hata za Brand ya Listerine zipo. Ni kusoma label inasemaje.
Hmm....wewe!Oh okay,
Na unaweza substitute mouthwash na kupiga mswaki?
Mfano ushapiga mswaki usiku vizuri ,umemouthwash umeenda kulala
Asubuhi si unaweza mouthwash tu ukatoka au...
Lol cause the assumption is baada ya usafi wa jana hujala chochote,...Hmm....wewe!
Hiyo ni juu yako....kama mdomo haunuki basi poa tu.
Ila sidhani mouthwash inaweza kuwa sub ya mswaki.
Hmm....seriously?Lol cause the assumption is baada ya usafi wa jana hujala chochote,...
Hahaha natania banaa...Hmm....seriously?
Oh okay,
Na unaweza substitute mouthwash na kupiga mswaki?
Mfano ushapiga mswaki usiku vizuri ,umemouthwash umeenda kulala
Asubuhi si unaweza mouthwash tu ukatoka au...
Mimi nauliza... Nikitumia mouthwash meno huwa kama yanapata ganzi. Nini suluhisho
Listerine mara nyingi. Hasa nikifululiza ndo inakuwa shidaUnatumia mouthwash gani?
Huwa unasoma maelezo kwenye label kabla ya kununua?