Ulichambua wangapi wangapi kutoka kila nchi?Ulitumia njia gani?1 Ngozi
2 Usafi wa akili kichwani
3 Kuchukia Uchafu
NK
Ningeendelea kukwesheni hako kakijirisachi kako ila hizo namba nikikuuliza wangapi kati yao unawajua in person..umefika makwao ukaona kweli ni wasafi na wanaanza kujali sehemu wanazolala kabla ya wanachovaa sidhani kama jibu litakua zaidi ya asilimia moja!Na hapo na ongelea jibu ambalo ni la kweli bila hata kujidanganya mwenyewe...so i'm out!
Kwamtoro unapima USAFI kwa kuangalia picha ?
Kwamtoro unapima USAFI kwa kuangalia picha ?