Marekani na China wanapigania Tanzania kwa sasa kwani wanaamini Tanzania itakuwa super power ya East and Central Africa. Marekani pamoja na kuweka balozi wao mwanajeshi msaafu wako kwenye harakati za kufungua base ambayo itaanza kama kituo cha kirafiki cha mafunzo ya kijeshi. Kila mwaka meli za kimarekani zinakuja Tanzania kwenye mafunzo ya kirafiki lakini hii ni kujenga uhusiano mzuri baina ya Tanzania na Marekani. Marekani ni utaratibu wao kutawala kwa marafiki kwa mfano Asia marekani ana base Japan, Korea na urafiki wa karibu wa Taiwan hivyo china hawezi kumzidi kule. Vilevile huko ulaya Marekani wana German na uhusiano wa karibu na UK na nchi nyingi tu.
China wameligundua hilo na leo hii wametuma kiongozi wa kijeshi Tanzania na wanajaribu kuweka urafiki wa karibu lakini bado watu wengi hawaamini Wachina. Vilevile vifaa vya kichina vinaaribu jina la china sana Tanzania na Watanzania wengi hasa wafanya biashara wanafikiri China inataka kuwapeleka wafanyabiashara wao Tanzania kufungua masoko kwa China.
Marekani zamani ilikuwa inamtumia Japan lakini sasa wameamua kufanya vitu wenyewe.
Baadae nitaeleza kwa kwanini hasa Tanzania ni muhimu kwa hizi nchi
China wameligundua hilo na leo hii wametuma kiongozi wa kijeshi Tanzania na wanajaribu kuweka urafiki wa karibu lakini bado watu wengi hawaamini Wachina. Vilevile vifaa vya kichina vinaaribu jina la china sana Tanzania na Watanzania wengi hasa wafanya biashara wanafikiri China inataka kuwapeleka wafanyabiashara wao Tanzania kufungua masoko kwa China.
Marekani zamani ilikuwa inamtumia Japan lakini sasa wameamua kufanya vitu wenyewe.
Baadae nitaeleza kwa kwanini hasa Tanzania ni muhimu kwa hizi nchi