elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,698
ninesoma habari ya kwamba eti shirika la kimataifa la nguvu za atomic limegundua uwepo wa kiwanda kisiri siri cha kurutubisha madini ya uranium chini ya ardhi katika nchi ya iran.
Na serikali ya marekan imetoa tamko ya kwamba huo ni uchokozi na hatua zinabidi zichukuliwe haraka sana.
Mimi naona kwamba marekani iko mbioni kuivamia iran kijesh na hizi ni propaganda.
Na serikali ya marekan imetoa tamko ya kwamba huo ni uchokozi na hatua zinabidi zichukuliwe haraka sana.
Mimi naona kwamba marekani iko mbioni kuivamia iran kijesh na hizi ni propaganda.