USA: inajivunjia heshima!!!

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
Siku za karibuni imekuwa jambo la kawaida siku hizi wamarekani kupeleka resolution na kutolewa nje... nionavyo mimi hili taifa kubwa linaendelea kujiabisha kwenye jamii ya kimataifa...

Sasa hili la Zimbabwe... yaani hawakujua kwamba issue ya zimbwabwe suala la ndani ya nchi ambalo UN/AU etc... wameshaazimia kwamba hawataizingilia?

Angalia hiii---> Zimbabwe hails sanctions failure

Kadiri siku zinavyoenda... naona mataifa yanaanza kuwa na uwezo wa kusema mfalme yuko uchi....
 
Back
Top Bottom