Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,270
- 105,445
Kwani Airtel imeletwa na wale waliokimbia nchi na kwenda kuwa watumwa nchi za watu? Si wabongo wenyewe tumefungua masoko yetu? Tatizo lako wewe unalazimisha vitu ili vi support hoja zako. Nimekwambia usilazimishe. Kama hoja dhaifu rudi na nyingine.
Wewe hata hujui Airtel ni ya nani despite all the handholding hapa.