Usa green card-dv2013

Afrika ilitawaliwa na wageni kwa sababu watu wake hawakuweza/taka kutoka nje.

leo tushajifunza historia na kuona hili bado kuna watu wanang'ang'ania kujifungia Afrika tu? Hata katika zama hizi za telecommuting, dual nationalities na mobile banking?



Uko sahihi kaka,hapa inatubidi tusichoke kulilia dual nationality kwani hata kama mtu ukiwa na uraia wa nchi nyingine haimaanishi kuwa uzalendo huna.Huwa napata hasira sana hasa pale ninapotaka kwenda nyumbani ambako nimejenga na kununua mashamba na nina vitegauchumi vyangu,kisha kajinga tu ka ubalozini kananiambia tumekunyima viza,shit...
 
Nawashangaa sana watu ambao mpaka leo wana mawazo mgando kama haya,inaonyesha kabisa jinsi wasivyojua maana ya Diaspora,labda niulize tu,hawahawa mnaowapinga wakiamua kujenga wanajenga wapi kama sio kwao,na inakuwaje kila mara tunapowapigia simu wimbo wenu wa Taifa ni umasikini na kuomba mtumiwe hela.Acheni unafiki,hata hao walioendelea kiuchumi wameendelea baada ya kutoka na kufanya biashara na mataifa mengine,sasa ndugu zangu mnakalia utanzania mnaficha nini huko mpaka msitoke au mnafuga fisi?Watazame jirani zetu Warundi awalivyokuwa wanajidai kutojua nchi nyingine walipofikia?Twende mbele turudi nyuma ili tuendelee tunahitaji changamoto toka katika mataifa yaliyoendelea na sio kwa kuwasubiri waje nyumbani kwani wakija wao wanakuja kuvuna,ni kwa wenye nafasi kuwafuata hukohuko kwao na kuchukua kilichopo kurudisha nyumbani.Mwisho nikuulize tu,hivi leo hii ukipewa Green Card utaikataa..

Nitaikataa. Nje sawa na ndani kuwa Mzalendo.
 
Nitaikataa. Nje sawa na ndani kuwa Mzalendo.

Mzalendo unajua hata hii intaneti unayotumia si ya Tanzania kwa maana ya kwamba hatukuianzisha sisi, unaweza kuikataa nayo uanzishe yako ya Kizalendo zaidi ya Kitanzania from alif ?

Come to think of it, hata maandishi haya tunayoyatumia si ya kwetu, utataka kuanzisha maandishi yetu ili uzalendo wako usiwe nusunusu?

Give me a break already!
 
Uko sahihi kaka,hapa inatubidi tusichoke kulilia dual nationality kwani hata kama mtu ukiwa na uraia wa nchi nyingine haimaanishi kuwa uzalendo huna.Huwa napata hasira sana hasa pale ninapotaka kwenda nyumbani ambako nimejenga na kununua mashamba na nina vitegauchumi vyangu,kisha kajinga tu ka ubalozini kananiambia tumekunyima viza,shit...

Ulishwahi kunyimwa visa ya kuingia Tanzania?kutokea nchi gani mkuu?kama una gamba tayari visa za bongo unaweza chukulia airport bongo ukishafika,kwenda ubalozi si lazima sana,unless wawe wamebadili utaraibu ama depending na hapo ulipo.
 
Ulishwahi kunyimwa visa ya kuingia Tanzania?kutokea nchi gani mkuu?kama una gamba tayari visa za bongo unaweza chukulia airport bongo ukishafika,kwenda ubalozi si lazima sana,unless wawe wamebadili utaraibu ama depending na hapo ulipo.

:laugh: Mbona unamuumbua mwenzio?
 
Uchumi gani huu unaotaka mtu afungwe kamba nyumbani kwake kama mbuzi wa hitima?

Uchumi wa dunia hii ya teknolojia au wa mwaka 1947?

Nani sasa ataendeleza huo uchumi kama nyinyi mmeshakimbilia nchi za watu kwenda kuwa watumwa? Mnataka wengine watengeneze halafu nyie ndiyo mrudi? Ovyooo.
 
Nani sasa ataendeleza huo uchumi kama nyinyi mmeshakimbilia nchi za watu kwenda kuwa watumwa? Mnataka wengine watengeneze halafu nyie ndiyo mrudi? Ovyooo.

Bado hujaelewa somo.

Kila mtu ana karama yake, wengine wana karama ya kuendeleza uchumi kutoka ndani ya nchi, wengine wana karama ya kuendeleza uchumi kutoka nje ya nchi. Nchi inatuhitaji wote, na kama umesoma uchumi hata wa kuanzia tu utajua it is all about the allocation and utilization of resources in the best and most efficient way. This is as basic as Adam Smith.

Sasa kama Mtanzania anaweza kuwa CEO wa Standard Chartered kwa kufanya kazi nje ya Tanzania, na hizi corporations ndizo zinakuja kuwa hegemons katika uchumi mpya, kwa nini Mtanzania huyu asikae nje akaendeleza karama yake na in the process kuisaidia Tanzania?

Hizi habari za kufikiri kwamba ili ku participate katika uchumi wa Tanzania ni lazima uwe Tanzania ni function ya kutoelewa uchumi wa dunia unavyoenda leo na trend ya future. Hata baada ya resources na tools zote za leo (unaweza kupiga simu kutoka Tanzania kuja US cheaper kuliko US kuja Tanzania siku hizi) bado unafikiri kwamba ni lazima kila mtu alundikane Tanzania.

Hata hao wajasiliamali wa Tanzania walio nyumbani watahitaji Watanzania wenzao walio nje ili wapate habari kamili za nje, wote tukirudi nyumbani nani atatoa michongo?

Tanzania inahitaji watu wengi zaidi kutoka nje, sio habari za uzalendo pofu usioelewa kwamba hata hii mipaka ya nchi ni superficial tu na kadiri biashara inavyozidi kupanda mipaka hii ya kihistoria itafutika.
 
Bado hujaelewa somo.

Kila mtu ana karama yake, wengine wana karama ya kuendeleza uchumi kutoka ndani ya nchi, wengine wana karama ya kuendeleza uchumi kutoka nje ya nchi. Nchi inatuhitaji wote, na kama umesoma uchumi hata wa kuanzia tu utajua it is all about the allocation and utilization of resources in the best and most efficient way. This is as basic as Adam Smith.

Sasa kama Mtanzania anaweza kuwa CEO wa Standard Chartered kwa kufanya kazi nje ya Tanzania, na hizi corporations ndizo zinakuja kuwa hegemons katika uchumi mpya, kwa nini Mtanzania huyu asikae nje akaendeleza karama yake na in the process kuisaidia Tanzania?

Hizi habari za kufikiri kwamba ili ku participate katika uchumi wa Tanzania ni lazima uwe Tanzania ni function ya kutoelewa uchumi wa dunia unavyoenda leo na trend ya future. Hata baada ya resources na tools zote za leo (unaweza kupiga simu kutoka Tanzania kuja US cheaper kuliko US kuja Tanzania siku hizi) bado unafikiri kwamba ni lazima kila mtu alundikane Tanzania.

Hata hao wajasiliamali wa Tanzania walio nyumbani watahitaji Watanzania wenzao walio nje ili wapate habari kamili za nje, wote tukirudi nyumbani nani atatoa michongo?

Tanzania inahitaji watu wengi zaidi kutoka nje, sio habari za uzalendo pofu usioelewa kwamba hata hii mipaka ya nchi ni superficial tu na kadiri biashara inavyozidi kupanda mipaka hii ya kihistoria itafutika.

Hebu nipe mfano wa nchi iliyojengwa namna hii hapa duniani? Huo mfano wa CEO wa benki ni unique na sidhani kama ni realistic. Wengi hawaleti faida hiyo unayoongelea.
 
Hebu nipe mfano wa nchi iliyojengwa namna hii hapa duniani? Huo mfano wa CEO wa benki ni unique na sidhani kama ni realistic. Wengi hawaleti faida hiyo unayoongelea.
comoro.....
 
Ulishwahi kunyimwa visa ya kuingia Tanzania?kutokea nchi gani mkuu?kama una gamba tayari visa za bongo unaweza chukulia airport bongo ukishafika,kwenda ubalozi si lazima sana,unless wawe wamebadili utaraibu ama depending na hapo ulipo.


Kuna kajinga kamoja huwa kanasumbua sana hapa ninapoishi na kinachofanyika inabidi mtu upate visa toka huko kwa fax..
 
Hebu nipe mfano wa nchi iliyojengwa namna hii hapa duniani? Huo mfano wa CEO wa benki ni unique na sidhani kama ni realistic. Wengi hawaleti faida hiyo unayoongelea.

Nchi haijengwi kwa njia moja sasa unaposema "nipe mfano wa nchi iliyojengwa namna hii dunini" inakuwa una simplify a complex array into a simple construct.

La kama unaongelea nchi kujengwa kwa namna hii pamoja na nyingine, hakuna nchi ambayo haijajengwa kwa namna hii. Hata vuguvugu la uhuru Afrika lilichochewa sana na askari waliorudi safari baada ya kupigana vita vya pili vya dunia. Angalia superpowers zote na jinsi zilivyorise. Kuanzia Wagiriki na Wamisri waliosafiri baharini mpaka Warumi, Waingereza na Wamarekani. Sababu moja kubwa iliyofanya Europe itawale Africa, na si Africa kutawala Europe ni kwamba watu wa Europe walitoka kwao kuja kutafuta maisha Africa, bado hatujajifunza tu kwamba "Mgaa gaa na upwa hali wali mkavu"?

Swala hapa si mimi kukupa mfano wa nchi iliyojengwa namna hii, bali wewe kunipa mfano wa nchi ambayo haijajengwa namna hii, kama ipo.

Isolationism does not work.The Chinese tried it and despite being far more advanced technologically at an earlier stage before Europe, this same isolationism coupled with an utopia of "China is the centre of civilization, therefore the Chinese do not need to go out" is what stagnated Chinese development for hundreds if not thousands of years.
 
Green Card ni kupewa US permanent resident,siyo urahia,unakuwa mkazi na unapewa haki ya kufanya kazi na kupata social security number,ambayop itakuwezesha kufanya kazi bila kujificha,
 
tehe teh teh ingekuwa enzi za julius tungemwuita msaliti uyu awa ndo sasa wankomaa na agenda za uraia wa nchi mbili

:biggrin1: huyo atakua chama maana yeye ndio mbeba box mkuu wa marekani na nitafurahi kama itakua ndio yeye amepata hiyo card ili angalau aweze kupata opportunity ya kufanya kazi ya maana na yenye hela zaidi
 
Sasa ndugu unapoweka hiyo thread isiyojitosheleza, unataka tuwe watabili wa shida yako? Funguka ili kama kuna mwenye kukusaidia na akusaidie.

wewe hujaelewa,cuz hujui G.C inaendaje endaje! Kwa wale wanaofatilia washaelewa! *Jipange*
 
Green Card ni kupewa US permanent resident,siyo urahia,unakuwa mkazi na unapewa haki ya kufanya kazi na kupata social security number,ambayop itakuwezesha kufanya kazi bila kujificha,

swadakta!! Thanx a lot,kwakueka wazi..mana wabongo wanakurupuka 2! Hawatak chukua FURSA znapojtokeza!

Jaman,mwaka huu Tanzania 2mechaguliwa 153 tu,wakat kenya wapo buku4,nigeria buku6..! Watanzania,hatujarbu fursa kama izi,hofu itatuua....
 
Green Card ni kupewa US permanent resident,siyo urahia,unakuwa mkazi na unapewa haki ya kufanya kazi na kupata social security number,ambayop itakuwezesha kufanya kazi bila kujificha,
Unaweza kuomba uraia baada ya kuwa na hiyo Green card kwa miaka mitano!.
 
Back
Top Bottom