US to lower flag to end Iraq war

Kinyungu

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
17,352
32,989
The US flag is to be lowered in Baghdad, formally marking the end of US military operations in Iraq after nearly nine years of war.
Most of the 5,500 remaining soldiers have now left Iraq, with security in the hands of the Iraqi authorities.
President Barack Obama, who came to office pledging to bring troops home, said the US left behind a "sovereign, stable and self-reliant Iraq".
Some 4,500 US soldiers and more than 100,000 Iraqis have died in the war.
It has cost the US some $1tr.

BBC News - US flag ceremony to mark end of Iraq war role
 
Rais wa Marekani Barack Obama maeadhimisha kumalizika kwa vita vya Iraq kwa kupongeza "mafanikio yasiyo ya kawaida" kwa vikosi vya Marekani katika mapigano ambayo yalipingwa sana.
Katika hotuba kwenye eneo la Fort Bragg huko Carolina Kaskazini, aliwapongeza wanajeshi wale waliohudumu na kufariki dunia wakiwa vitani, pamoja na jamii zao.
Wanajeshi wa Marekani wa mwisho wanatarajiwa kuondoka kabisa Iraq katika siku chache zijazo.
Wajumbe wa chama cha Republican wamekosoa mpango huo wa kuondoa wanajeshi wakielezea wasiwasi kuhusu usalama wa Iraq, lakini raia wengi wa Marekani wanaunga mkono hatau hiyo.
Katika hotuba ya Jumatano, Rais Obama - ambaye kwa kiasi fulani alifanikiwa kuwa rais kwa msimamo wake wa kupinga vita vya Iraq - alipongeza ujasiri wa majeshi ya Marekani katika muda wa miaka takriban tisa kweney vita hivyo.
 
The US flag is to be lowered in Baghdad, formally marking the end of US military operations in Iraq after nearly nine years of war.
Most of the 5,500 remaining soldiers have now left Iraq, with security in the hands of the Iraqi authorities.
President Barack Obama, who came to office pledging to bring troops home, said the US left behind a "sovereign, stable and self-reliant Iraq".
Some 4,500 US soldiers and more than 100,000 Iraqis have died in the war.
It has cost the US some $1tr.

BBC News - US flag ceremony to mark end of Iraq war role

8,000 US troops remain in Iraq

Zaidi hapa PressTV - 8,000 US troops remain in Iraq
 
Back
Top Bottom