US Media Campaign to Discredit Iranian Election

Ok la mafuta we are on the same page right now.

Kuhusu historia ya nchi. Unajua nchi yoyote haiwezi kubaki juu siku zote. Kuna
Wamisri na falme za West Africa ambao ndiyo walikuwa watu wa kwanza kuwa na vyuo vikuu na watu walikuja mbali kupata elimu mfano Timbaktu. Kukaja Wagiriki na Warumi waka tawala dunia na kuwa mataifa yenye nguvu mwishoni yakafa. Persia which includes hiyo Iran chini ya Alexander the Great wali tawala 1/3 ya dunia. Wakaja Uingereza wakawa na territories zinazo fikia 2/3 ya dunia lakini nayo ika pungua nguvu na kuipisha Marekani.

Kama nilivyo sema mwanzo Marekani kama Marekani ime zaliwa miaka 200 na iliyo pita. Kuna nchi kama Canada iliyo zaliwa 1867. Kuna nchi pia kama Australia ambayo Waingereza waliitumia kutupa wahalifu wao huko.

Okay...hapo umetaja Marekani, Canada na Australia. Hizi nchi zin kitu fulani kilicho very common....supression of the indiginous peoples. Hao watu walioleta maendeleo huku yanayowafanya wameremete mpaka sasa ivi ni wazungu waliotoka Uingereza. Ndo maana wakati mwingine wana-refer to England as the motherland. Hawa watu walipokuja, waliwatawala indiginous people wa hizo nchi, mpaka leo, wameishia kutupiliwa mbali. Angalia Red Indians marekani, Canada, na Aboriginals Australia. Nasema uongo? Yani ukitoa uraia...wana links zote na Uingereza. Kwa hiyo maendeleo ya hizo nchi yameletwa kutokana na culture na traditions za hawa watu walizozileta kutoka Uingereza, au sio? Taja nchi nyingine, ambayo haina link yeyote na Uingereza. Ungeniambia Russia..., hapo sijui mengi sana juu yao. Lakini nayo ni nchi iliyochoka ukienda vijijini mwao. Status yao ya developed inatokana sana na Cold War era!
 
Okay...hapo umetaja Marekani, Canada na Australia. Hizi nchi zin kitu fulani kilicho very common....supression of the indiginous peoples. Hao watu walioleta maendeleo huku yanayowafanya wameremete mpaka sasa ivi ni wazungu waliotoka Uingereza. Ndo maana wakati mwingine wana-refer to England as the motherland. Hawa watu walipokuja, waliwatawala indiginous people wa hizo nchi, mpaka leo, wameishia kutupiliwa mbali. Angalia Red Indians marekani, Canada, na Aboriginals Australia. Nasema uongo? Yani ukitoa uraia...wana links zote na Uingereza. Kwa hiyo maendeleo ya hizo nchi yameletwa kutokana na culture na traditions za hawa watu walizozileta kutoka Uingereza, au sio? Taja nchi nyingine, ambayo haina link yeyote na Uingereza. Ungeniambia Russia..., hapo sijui mengi sana juu yao. Lakini nayo ni nchi iliyochoka ukienda vijijini mwao. Status yao ya developed inatokana sana na Cold War era!

Ok I see your point. Let me entertain your idea and ask, what do you think we as a nation should do now to develop?
 
Ok I see your point. Let me entertain your idea and ask, what do you think we as a nation should do now to develop?

Nadhani tungechukua mfumo wa Stalin. Tunaweka program ya five years, na katika hiyo miaka mitano tuna-target a certain specific area alone. Sio kana kwamba tunasahau areas nyingine, lakini tunaipa kipaumbele hiyo area. Kwa mfano tunaweza kusema kilimo cha kisasa na elimu kwa kuanza. Kilimo ni muhimu kwa maana sidhani kama kumeshakuwa na nchi iliyoendelea inayotegemea misaada ya chakula. Lazima tuweze kuji-support kwanza. Umuhimu wa elimu nadhani ni kitu kilicho wazi.
Pia, lazima tukubali kuwa sisi (generation yetu hapo wote JF) hatutakaa tuone Tanzania iliyofika stage ya kuitwa upper second world. Tukilazimisha sana, tutajikwamua kutoka third world in 50 - 60yrs.
Pili, uwazi katika kazi za serikali. Kwa sasa serikali yetu ni kama kichaka. Inafanya mambo yake kwa siri mno. Tunataka uwazi na a constant flow of data kutoka kwao. Bila hilo wataendelea kuboronga na sisi kuumia bure. Elimu itachangia katika uelewaji wa hizo data.
Na tatu, utawala bora wa sheria. Huu utaendena na uwazi.

Wewe je?
 
Last edited:
Kwani Irani ikisemwa kuna ubaya gani? Mbona Ahmed Nejad huwa anazungumzia juu ya mataifa mengine tena kwa vitisho? Au ni kwa sababu walioukosoa uchaguzi ng vyombo vya habari vya Marekani? Mbona baada ya Sept 11 Aljazeera wamekuwa wakiiandika vibaya Marekani? Pia Press TV (ya Iran) ndio kabisaa hawana jema toka US. Hukumuni kwa haki juu ya masuala yanayohusu vyombo vya habari vya Marekani mkilinganisha na vya Mashariki ya Kati.
 
Nadhani tungechukua mfumo wa Stalin. Tunaweka program ya five years, na katika hiyo miaka mitano tuna-target a certain specific area alone. Sio kana kwamba tunasahau areas nyingine, lakini tunaipa kipaumbele hiyo area. Kwa mfano tunaweza kusema kilimo cha kisasa na elimu kwa kuanza. Kilimo ni muhimu kwa maana sidhani kama kumeshakuwa na nchi iliyoendelea inayotegemea misaada ya chakula. Lazima tuweze kuji-support kwanza. Umuhimu wa elimu nadhani ni kitu kilicho wazi.
Pia, lazima tukubali kuwa sisi (generation yetu hapo wote JF) hatutakaa tuone Tanzania iliyofika stage ya kuitwa upper second world. Tukilazimisha sana, tutajikwamua kutoka third world in 50 - 60yrs.
Pili, uwazi katika kazi za serikali. Kwa sasa serikali yetu ni kama kichaka. Inafanya mambo yake kwa siri mno. Tunataka uwazi na a constant flow of data kutoka kwao. Bila hilo wataendelea kuboronga na sisi kuumia bure. Elimu itachangia katika uelewaji wa hizo data.
Na tatu, utawala bora wa sheria. Huu utaendena na uwazi.

Wewe je?

Kwanza una takiwa kujuwa kuwa mfumo wa Stalin is a failed one. In the long run mfumo was Stalin uliongeza maskini USSR na kuingiza mianya ya rushwa ndani ya chama which supposedly believed in kila mtu kugawana sawa. So kama waanzilishi wenyewe wa huo mfumo umefail naomba uniambia why you think kwetu tutaweza.

Pili, nchi yoyote masikini ita priorities mambo itaki isitake. Hii ni kutokana na mipango au vitu vya kufanya kuwa vingi na pesa zilizopo kuwa chache. Huu mfumo is not exactly wa Stalin in the sense that nchi yoyote yenye serikali bora ina takiwa kuwa na long term plans pia na short terms plans. Hata wenzetu walioendelea wana fanya hivi.

All in all your idea is good but kama ni hivyo tatizo si culture and tradition kama ulivyo sema bali tatizo ni kuwa na viongozi wasio na vision.
 
Kwanza una takiwa kujuwa kuwa mfumo wa Stalin is a failed one. In the long run mfumo was Stalin uliongeza maskini USSR na kuingiza mianya ya rushwa ndani ya chama which supposedly believed in kila mtu kugawana sawa. So kama waanzilishi wenyewe wa huo mfumo umefail naomba uniambia why you think kwetu tutaweza.

Pili, nchi yoyote masikini ita priorities mambo itaki isitake. Hii ni kutokana na mipango au vitu vya kufanya kuwa vingi na pesa zilizopo kuwa chache. Huu mfumo is not exactly wa Stalin in the sense that nchi yoyote yenye serikali bora ina takiwa kuwa na long term plans pia na short terms plans. Hata wenzetu walioendelea wana fanya hivi.

All in all your idea is good but kama ni hivyo tatizo si culture and tradition kama ulivyo sema bali tatizo ni kuwa na viongozi wasio na vision.

kama unadhani mfumo wa five years plan wa Stalin uli-fail ningekushauri ukasome historia vizuri. I will assume that ulidhani ninazungumzia communism. Nadhani ni bora kwanza uelewe kuwa five year plans zilikuwa tofauti na communism. Communism was the background ideology, wakati zile five years plans ndo zilikuwa sera - economic policies.
Kwa nini zilikuwa successful: Russia iliweza ku-move kutoka nchi iliyokuwa imedorora kiuchumi (mainly a farming country) mpaka kufikia nchi yenye uwezo wa kupambana ki-vita na Ujerumani (iliyokuwa na the fastest growing economy in Europe then). Sitaki kukupa a history lesson, lakini all-in-all huu mfumo wao uliweza kuinyanyua Russia kwa haraka kupita mategemezi ya wengi. Kama umesoma historia unaweza kujua hii famous quote yake wakati anaongelea hili swala...(not quoting word to word). It goes like this: "We are 50 to 100 years behind the West. We need to make good this distance in 10 years. We either do it, or they will crush us." Nadhani na hii iko very applicable katika situation yetu.
The advantage to this pamoja na uwazi ni; unapoweka targets ambazo zipo wazi kwa kila mwananchi, basi inakuwa rahisi kufanya kazi pamoja katika kuzitimiza (serikali na wananchi lazima wafanye kazi pamoja). Sawa Stalin was a trayant, na aliua over 40mil Russians katika kutimiza targets zake, lakini that doesnt mean we need to go down the same line. We can find effective and efficient means za kuweza kuzifanyia kazi hizi targets.

Umesema nchi yeyote yenye longterm goals inakuwa na mfumo huu: Can you please provide FACTS. Nipe longterm goals za US or any other developed country in that matter. I WANT FACTS, sio uropokaji.

Culture na traditions zina-play part katika kujenga jamii iliyo tayari kupokea maendeleo. Thats my point. Marekani isingeweza kufika hapa, kama haikujengwa na Waingereza waliohamia huko ambao walikuwa na culture na traditions walizozitoa Uingereza. Culture yao unaweza kusema ni utawala bora, kufanya kazi kwa sifa (take pride in their work), elimu (maana vyuo kama cambridge na oxford vilikuwa vimeanzishwa), nk. Umenielewa? Hivi ni vitu vilivyo katika background. Vimejengeka katika misingi ya jamii. Wataalam wanaita commonly shared background values, cultures, traditions. Sasa wewe leo umwambie Mmasai, nataka kuendeleza kilimo, atakuelewa? Lakini katika society yao ya wamasai, wana a common shared tradition ya kufuga ng'ombe. Na wanawapa ng'ombe value zaidi ya mimi na wewe tunayoweza kuwapa. Ni kitu ambacho kinafanya kazi unconsciously. Sio unaweza kusema kuwa...kha...hichi hapa. Ndo maana narudia, kuwa na a longer history inakusaidia katika kujenga hili. Mfano mwingine mzuri China, Japan. So the longer your history is, the more thess common shared culture, value, tradition, are passed on and cemented in you. This is what we LACK kutokana na kuwa watu waliokusanywa chini ya bendera moja!
 
kama unadhani mfumo wa five years plan wa Stalin uli-fail ningekushauri ukasome historia vizuri. I will assume that ulidhani ninazungumzia communism. Nadhani ni bora kwanza uelewe kuwa five year plans zilikuwa tofauti na communism. Communism was the background ideology, wakati zile five years plans ndo zilikuwa sera - economic policies.
Kwa nini zilikuwa successful: Russia iliweza ku-move kutoka nchi iliyokuwa imedorora kiuchumi (mainly a farming country) mpaka kufikia nchi yenye uwezo wa kupambana ki-vita na Ujerumani (iliyokuwa na the fastest growing economy in Europe then). Sitaki kukupa a history lesson, lakini all-in-all huu mfumo wao uliweza kuinyanyua Russia kwa haraka kupita mategemezi ya wengi. Kama umesoma historia unaweza kujua hii famous quote yake wakati anaongelea hili swala...(not quoting word to word). It goes like this: "We are 50 to 100 years behind the West. We need to make good this distance in 10 years. We either do it, or they will crush us." Nadhani na hii iko very applicable katika situation yetu.
The advantage to this pamoja na uwazi ni; unapoweka targets ambazo zipo wazi kwa kila mwananchi, basi inakuwa rahisi kufanya kazi pamoja katika kuzitimiza (serikali na wananchi lazima wafanye kazi pamoja). Sawa Stalin was a trayant, na aliua over 40mil Russians katika kutimiza targets zake, lakini that doesnt mean we need to go down the same line. We can find effective and efficient means za kuweza kuzifanyia kazi hizi targets.

Umesema nchi yeyote yenye longterm goals inakuwa na mfumo huu: Can you please provide FACTS. Nipe longterm goals za US or any other developed country in that matter. I WANT FACTS, sio uropokaji.

Culture na traditions zina-play part katika kujenga jamii iliyo tayari kupokea maendeleo. Thats my point. Marekani isingeweza kufika hapa, kama haikujengwa na Waingereza waliohamia huko ambao walikuwa na culture na traditions walizozitoa Uingereza. Culture yao unaweza kusema ni utawala bora, kufanya kazi kwa sifa (take pride in their work), elimu (maana vyuo kama cambridge na oxford vilikuwa vimeanzishwa), nk. Umenielewa? Hivi ni vitu vilivyo katika background. Vimejengeka katika misingi ya jamii. Wataalam wanaita commonly shared background values, cultures, traditions. Sasa wewe leo umwambie Mmasai, nataka kuendeleza kilimo, atakuelewa? Lakini katika society yao ya wamasai, wana a common shared tradition ya kufuga ng'ombe. Na wanawapa ng'ombe value zaidi ya mimi na wewe tunayoweza kuwapa. Ni kitu ambacho kinafanya kazi unconsciously. Sio unaweza kusema kuwa...kha...hichi hapa. Ndo maana narudia, kuwa na a longer history inakusaidia katika kujenga hili. Mfano mwingine mzuri China, Japan. So the longer your history is, the more thess common shared culture, value, tradition, are passed on and cemented in you. This is what we LACK kutokana na kuwa watu waliokusanywa chini ya bendera moja!

Soma vizuri post yangu. Nimesema nchi yoyote kuendelea lazima iwe na some form of hiyo five year plans kwa maana kila nchi lazima iwe na long term goals na short term goals. Kwani five year plans siyo short term goals? Au? If so niambie nchi gani imeendelea bila long term na short term goals?
 
Mshasema US Media ebo!! wao wana linda interests zao sasa kama mkiona mabaya ya US basi na nyie mwakosoe kwa njia wanazotumia wao au tafuteni njia nyingine za kuwakosoa na kuonyesha makosa yao.
 
Soma vizuri post yangu. Nimesema nchi yoyote kuendelea lazima iwe na some form of hiyo five year plans kwa maana kila nchi lazima iwe na long term goals na short term goals. Kwani five year plans siyo short term goals? Au? If so niambie nchi gani imeendelea bila long term na short term goals?


let me get this straight. Kwanza umeniambia niseme what i would do kusaidia Tanzania. Nikakwambia nitaweza hizo aggressive measures za term goals. Sasa wewe ukasema ni kitu kilicho obvious na kinachotumika. Sawa. Sasa unataka nikutajie nchi ambazo hazitumii targets whether short term or long term? Mimi sioni kwa nini nitaje maana mimi sijasema hakuna nchi isiyokuwa nazo. Wewe unayesema ni kilicho obvious katika muongozo wa nchi, unaweza kunitajia short term na long term goals za Tanzania?
 
1. Mtoto & Mwanafalsafa hii discusion hapo juu imeenda shule! Poa!

2. Sasa..why Mwal. failed?? Sii alijaribu kuwaweka watu ktk vijiji vya Ujamaa?? Au alikuwa mpole mno?? Au hawakuwa tayari bado kubadilika?? Je Watz sasa wapo tayari kubadilika??
 
let me get this straight. Kwanza umeniambia niseme what i would do kusaidia Tanzania. Nikakwambia nitaweza hizo aggressive measures za term goals. Sasa wewe ukasema ni kitu kilicho obvious na kinachotumika. Sawa. Sasa unataka nikutajie nchi ambazo hazitumii targets whether short term or long term? Mimi sioni kwa nini nitaje maana mimi sijasema hakuna nchi isiyokuwa nazo. Wewe unayesema ni kilicho obvious katika muongozo wa nchi, unaweza kunitajia short term na long term goals za Tanzania?

Hatuelekei kuwa na clear short term and long term goals ndiyo maana maendeleo yetu niya taratibu sana.
 
1. Mtoto & Mwanafalsafa hii discusion hapo juu imeenda shule! Poa!

2. Sasa..why Mwal. failed?? Sii alijaribu kuwaweka watu ktk vijiji vya Ujamaa?? Au alikuwa mpole mno?? Au hawakuwa tayari bado kubadilika?? Je Watz sasa wapo tayari kubadilika??

Mfumo wa ujamaa haufanyi kazi. USSR waliutumia mwishoni wakautupa. China nao wana anza kuwa more open towards a capitalist market. Communism is simply a failed ideology na kwa mawazo yangu hata tunge fanya nini tusinge fanikiwa.
 
1. Mtoto & Mwanafalsafa hii discusion hapo juu imeenda shule! Poa!

2. Sasa..why Mwal. failed?? Sii alijaribu kuwaweka watu ktk vijiji vya Ujamaa?? Au alikuwa mpole mno?? Au hawakuwa tayari bado kubadilika?? Je Watz sasa wapo tayari kubadilika??


1. Asante mkuu. Watu wengine mnaruhusiwa kuchangia mada. Ndo maana ya kujiunga na JF.

2. Siasi ya ujamaa haiwezi kufanya kazi katika wanadamu. On paper inaonekana na moja ya siasa bora, lakini kwa sababu sisi binadamu ni viumbe wenye ubinafsi, uwezo wa kufikiri na tofauti za mawazo, ndio maana haiwezi kufanya kazi. Kama Mwanafalsafa alivyosema, imejaribiwa na nchi nyingi, USSR, China na hata sasa ivi Cuba bado wanapambana nayo. Lakini zote zimeshindwa. Ukiangalia katika nchi zote zenye mfumo wa kijamaa, au zilizojaribu ujamaa, wananchi wake walikuwa oppressed sana. Hii ni sababu, binadamu tunatofautiana sana katika kufanya maamuzi yetu. Kitu utakachodhani ni bora, mwingine anaweza kuona ni uupuzi. Sasa kwa kusudi la kuweza kuwaweka wote muwe na sera moja, ni lazima kwanza kupinga mawazo mbadala. Na hili lilitokea hadi Tanzania chini ya Nyerere...kina Oscar Kambona, nk walikimbia nchini kabisa.
Nyerere alifail kutokana na upole wake, (kitu ambacho tushukuru), na kukosa support ya kutosha kutoka kwa wajamaa wenzake (China na USSR). Ukumbuke katika kipindi cha miaka ya 70, kulitokea zile oil shocks mbili. Hizi zilivuruga kabisa mambo na huku ukichangia vita vya Uganda, basi uchumi wetu ulidorora mbaya. Nchi ilikuwa haina chakula ya kutosha, nk. Nyerere alikuwa hana ujanja bali kurudi kwa nchi za magharibi kwa misaada. Na hapo ndipo ilipombidi atoke madarakani na kuachia mfumo wa soko huru.

Hatuelekei kuwa na clear short term and long term goals ndiyo maana maendeleo yetu niya taratibu sana.

Ungependa hizo short term goals na long term goals ziwe zipi?
 
ohh...Mwanafalsafa kwako wewe unadhani maendeleo ni nini hasa? Yani what is your definition ya kuwa developed?
 
ohh...Mwanafalsafa kwako wewe unadhani maendeleo ni nini hasa? Yani what is your definition ya kuwa developed?

Sorry for the delay in response. Maendeleo ni kusonga mbele. Kwangu mimi maendeleo ni kama ifuatavyo:

1.Badget kuji tegemea. Serikali iweze kujitegemea kwenye bajeti kwa 100%.
2.Kila anaye weza kusoma asome to the highest level they can reach
3.Sekta ya afya iweze kuhudumia wananchi wake kwa maana mtu asife kwa ajili hamna wahudumu au vifaa.
4.Tuji tosheleze kwenye chakula
5.Miundombinu ya kisasa
6.Tuwe na viwanda vinavyo kidhi mahitaji yetu
9.Tuwe na industry inayo husika na science and technology
10.Basic needs ziwepo kwa kila mwananchi na kwa bei ambayo mwananchi wa kawaida ata mudu.

Hii ni outline tu ya haraka haraka nikitulia nitaipangilia vizuri zaidi. Je wewe definition yako ya maendeleo ni nini?
 
Sorry for the delay in response. Maendeleo ni kusonga mbele. Kwangu mimi maendeleo ni kama ifuatavyo:

1.Badget kuji tegemea. Serikali iweze kujitegemea kwenye bajeti kwa 100%.
2.Kila anaye weza kusoma asome to the highest level they can reach
3.Sekta ya afya iweze kuhudumia wananchi wake kwa maana mtu asife kwa ajili hamna wahudumu au vifaa.
4.Tuji tosheleze kwenye chakula
5.Miundombinu ya kisasa
6.Tuwe na viwanda vinavyo kidhi mahitaji yetu
9.Tuwe na industry inayo husika na science and technology
10.Basic needs ziwepo kwa kila mwananchi na kwa bei ambayo mwananchi wa kawaida ata mudu.

Hii ni outline tu ya haraka haraka nikitulia nitaipangilia vizuri zaidi. Je wewe definition yako ya maendeleo ni nini?

Those are good. For me, maendeleo ni upatikanaji wa basic goods, na haki. From there, nchi itaweza kujijenga yenyewe. And i firmly believe hii ndo inatakiwa iwe kazi ya serikali. Sema serikali yetu imedoro. By basic goods i mean; elimu, afya na infastructure. Sio kazi ya serikali kulisha wananchi, bali kuwapa uwezo wa kujilisha. Na kwa kuwapatia infastructure nzuri, elimu na afya, wananchi wataweza kutumia uwezo wao kujimudu wenyewe, labda wawe mananga tu. Pia sheria za kulinda wananchi ni kitu cha lazima. Bongo watu wengi wanadhani maendeleo ni kuwa na majengo kama NY...hahahaha! nadhani those are more of the results of maendeleo.
Infastructure = umeme, maji, barabara (communication routes) including simu, mtandao, na vitu kama FIRE STATIONs (kumbuka BAGAMOYO hapo majuzi tu), nk
 
Mtoto
Ukumbuke katika kipindi cha miaka ya 70, kulitokea zile oil shocks mbili. Hizi zilivuruga kabisa mambo na huku ukichangia vita vya Uganda, basi uchumi wetu ulidorora mbaya. Nchi ilikuwa haina chakula ya kutosha, nk. Nyerere alikuwa hana ujanja bali kurudi kwa nchi za magharibi kwa misaada. Na hapo ndipo ilipombidi atoke madarakani na kuachia mfumo wa soko huru.

nadhani hapo ndipo ukweli wenyewe ulipo tatizo sio the system (ujamaa) tatizo ni hao western europeans. kwanza ni mfumo ambao hawa usaport sio kwamba aufai no bali kwa sababu hau wa-suit wao na mwenendo wao especially umention nchi kama UK ambao wana mfumo wao wa class, na exploitation of the lower classes. off course america was bound to follow the british social structure as it owned the colony and americans today are descendants of the english. ume mention the importance of exploiting people's minds and the cement used to constuct the way of thinking i think its this line of thinking that mzungu always uses if u analyze his approzch of things and how they run their society.
kwanza kabisa hawa jamaa ujifunza wameshaona what triggered other revolutions in their continet and others, once people begin to look in terms inequality and equality it can trigger a movement after all they had lost america as a colony by underestimating the power of people, kwa wenyewe imebidi wa ruhusu Unions so that poor people can have a voice therefore they knew if socialism was to succeed it might trigger a movement in their lands as people would have another angle of comparison after all Karl Max had warned of all this.
sasa ukiwacha ujamaa ushamiri uoni watu wao itakuja siku kuchungulia pembeni na kuona kwa nini wao waonewe na wachache, na ndio maana ni kitu ambacho walikipiga vita na awafanyi biashara na nchi yeyote inayo support that form of system kwa sababu wao wananyingine. sasa iwapo ni nchi chache ndio zina enda na ujamaa utafanya kitu gani na nani zaidi ya ku-exploit what u can only do inside na nchi yenyewe tanznania. umeme mention the fact inorder to move forward u need alot of educated people haya kulikuwa na wangapi enzi za nyerere it was bound to fail.
 
Back
Top Bottom