VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Yaani hata Hapa US wameanza kupiga kura za mid-term elections leo na matokeo ni leo leo. Tanzania watu wameanza kupiga kura Jumapili na hadi leo J'nne results za kueleweka hakuna. NEC mnapika matokeo? Ama ndio KASI PYA, WIZI MPYA NA MAENDELEO MAPYA?Mkwere na CCM mna kazi sana.