MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
US Airways passengers jet imedondoka New York kwenye Hudson River. Habari zinasema kuwa watu wote 150 walio kuwa ndani ya ndege hiyo wameokolewa. FBI wanasema kuanguka kwa ndege hio hakuna uhusiano wowote na ugaidi.
Imetoka Fox News
Last edited by a moderator: