Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Habari zilizopatikana hivi punde zinasema kwamba Intelijensia ya Urusi ilimshtua Raisi wa Uturuki Teyyip Erdogan dakika za mwisho kabla ya Mapinduzi kuanza kufanyika, MIT ambayo ni intelijensia ya Uturuki ilipokea intel ktk Intelijensia ya Urusi dakika za mwisho na hivyo kumfanya Erdogan naye ajipange na ndicho kilichomponyesha!
Hao ndiyo Wazungu bhana kumbe walikuwa wana mpango wa kumuua jamaa Erdogan, sasa nina wasi wasi sana D.Trump kama atapona, hii smear campaign ya media wanayomfanyia siyo ya kawaida!
Naona vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe inakaribia huko Uturuki kwani USA tayari ameshaanza kuhoji uanachama wa uturuki NATO, wkt huo huo Erdogan naye anasafisha takataka zote zilizohusika kwa namna moja au nyingine na jaribio la Mapinduzi hayo!
Tayari raisi Erdogan ameshatangaza hali ya hatari nchini humo kwani coup nyingine inapikwa, kazi ipo!
Farsnews
Hao ndiyo Wazungu bhana kumbe walikuwa wana mpango wa kumuua jamaa Erdogan, sasa nina wasi wasi sana D.Trump kama atapona, hii smear campaign ya media wanayomfanyia siyo ya kawaida!
Naona vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe inakaribia huko Uturuki kwani USA tayari ameshaanza kuhoji uanachama wa uturuki NATO, wkt huo huo Erdogan naye anasafisha takataka zote zilizohusika kwa namna moja au nyingine na jaribio la Mapinduzi hayo!
Tayari raisi Erdogan ameshatangaza hali ya hatari nchini humo kwani coup nyingine inapikwa, kazi ipo!
Raisi T.Erdogan wa Uturuki akitangaza hali ya hatari kwa kuhofia jaribio lingine, izingatiwe kwamba Meli za kivita 4 za Uturuki zimekimbia na zimepotea pmj na Wanajeshi wake!
Farsnews