URITHI WA MANDELA watangazwa

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
Mali za hayati Nelson Mandela zatangazwa leo, thamani yafikia +R46 milioni (Tsh7 bn), zagawanywa kwa wanafamilia na shule aliyosoma.source mwananchi
 
Weka picha

ImageUploadedByJamiiForums1391439478.541599.jpg
 
Inasikitisha kuona hajamwachia kitu mke wa pili Winnie Mandela lakini amemwachia Graca Michael nyumba nne ambazo zipo mozambique ambazo wanazimiliki, magari na dhahabu zote alizomununulia pamoja na kuwapa watoto wake wawili wa kufikia ambao Graca Michael alizaa na Marehemu mumewe aliyekua Raisi wa Mozambique Samora michael kila mmoja £165,000.00.
 
mbona sisi wametusahau kwenye huo mgao? wakati na sisi tumechangia xana majorty rule in SOUTH AFRICA!
 
Haisikitishi kutomwachia kitu Winnie......usaliti alofanya Winnie ktk ndoa ile teyari huo ndo mgao wake, na winnie anavgoendelea kutumia jina la Mandela ni kashfa kubwa kwa mwana wa africa.
First lady kuwa na vi-serengeti boy umri wa watoto wako huku ukiwa ni mama wa taifa ni fedhea kuu kwa jamii ya Africa......lets say leo hii (kumradhi) mama maria awe na vijitoto sawa na akina makongoro ( tena makongoro keshazeeka ) Ni kashfa si kwa familia ya mwalimu tu bali jamii ya kitanzania kwa ujumla wake
 
amezipataje hizo mali?

jela miaka 26 , urais miaka mi4 tu,

au ndio makaburu walimtunuku?

cc fikirikwanza
 
Last edited by a moderator:
amezipataje hizo mali?

jela miaka 26 , urais miaka mi4 tu,

au ndio makaburu walimtunuku?

cc fikirikwanza

Simpendi sana mandela maana alikubaliana na wazungu kwa kuwasaliti waaafrika, kimsingi tatizo la ukaburi ameliacha kwenye uchumi ambao ndo dili, baada ya kuondosha lile la kisiasa, yaani madiba kafanya makosa yale yale, kulewa sifa za wazungu. Mbona nyerere hawamshabikii sana maana alikuwa sumu kwao
 
Back
Top Bottom