Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

Thread reeefu ila halina sehemu ilioandikwa kuwa unaezJe kutibu. Inafundisha lakini jinsi ya kujikinga nayo
 
Kama za hospital zimekataa ni vyema utumie dawa zilizo tokana na mimea na matunda.zinaondoa kabisa tatizo.kama utahitaji ni chek 0683109166
 
Andaa elfu ishirini nikutumie ulipo ...dawa hii inaponya magonjwa mengi sugu call me :0765311874.
 
Mimi sio daktari ila nazungumza kutokana na kufanya kazi na madaktari.

Ukisema una UTI sugu maanake ni kwamba umepima gono na syphilis na huna hayo magonjwa.

Kwa magonjwa ya njia ya mkojo ukienda hospitali unamwona daktari anayeitwa urologist. Kama sijakosea. Kwa wanaume atakuingiza kidole kwa nyuma kumcheck tezi dume. Kumbuka UTI sugu hujificha kwenye tezi dume au korodani ambapo dawa sio rahisi kufika.

Kama tezi yako itakuwa ngumu basi itakuwa na infection na dawa nzuri ni LOMEFLOXACIN. Mara nyingi hii dawa utaambiwa utumie kwa mwezi mmoja au zaidi.

Na pia kama ukifanya culture na hamna kinachoonekana nenda kwa urologist.

Utashauriwa pia wakati unatumia dawa usex angalau Mara tatu kwa wiki ili kuondoa shawaha zenye infection. Tumia condom lakini.
 
Cefixime-taxim O ndo dawa pekee ambayo itakufny usahau hiyo shida milele utabk kusimulia tu kuwa nilikua na u.t.i
 
Hizo dawa zote alizotumia zimemponyesha ila anajiambukiza tena. Nenda na partner wako mkatibiwe pamoja na utunze mazingira ya choo na unywe maji ya kutosha.

Usiwe play boy, mademu wa sasa hawaoshi K kwa ufasaha. Ni hayo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom