Leo nimepima mkojo na choo nimekutwa nina maambukizi ya urinary tract infections (UTI). Kwa kweli mwenzenu nina maumiv makali sana ya mwili na sehemu za siri. Tatzo n kwamba: nimepima hapa Marie stopes-Mwanza na gharama ya dawa nambiwa tsh 35,000 halafu vpimo sh 12,700. Nimeomba niandikiwe dawa nkatafuta kwingine hawataki, uwezo wa kulipia hzo dawa mie sina,
naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje au nitumie dawa gani nipone mapema kwani maumivu ni makali sana sehemu za siri na choo hamna infection. I'm MALE.
lipa hiyo ya vipimo then nenda pharmacy yoyote kubwa kanunue dawa za UTI andaa kama 10,000
Pole sana mkuu,
Tumia tiba ifuatayo:
1. Paracetamol(panadol) 500mg mara tatu kutwa
2. Inj. Gentamicin 160mg i.m twice daily for 5 days
(kama unaogopa sindano then otpion kwa namba 2. ni Tabs Nitrofurntoin(Furadantin) 100mg BID for 7 days. BUT: nakushaui uende kwenye Pharmacy (sio duka la dawa baridi) a good pharmacist wil be able to assist you with new drugs that are better and more efficacious. Wengine tulipita huko mwaka 47 enzi za rangimbili
Leo nimepima mkojo na choo nimekutwa nina maambukizi ya urinary tract infections (UTI). Kwa kweli mwenzenu nina maumiv makali sana ya mwili na sehemu za siri. Tatzo n kwamba: nimepima hapa Marie stopes-Mwanza na gharama ya dawa nambiwa tsh 35,000 halafu vpimo sh 12,700. Nimeomba niandikiwe dawa nkatafuta kwingine hawataki, uwezo wa kulipia hzo dawa mie sina,
naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje au nitumie dawa gani nipone mapema kwani maumivu ni makali sana sehemu za siri na choo hamna infection. I'm MALE.
Leo nimepima mkojo na choo nimekutwa nina maambukizi ya urinary tract infections (UTI). Kwa kweli mwenzenu nina maumiv makali sana ya mwili na sehemu za siri. Tatzo n kwamba: nimepima hapa Marie stopes-Mwanza na gharama ya dawa nambiwa tsh 35,000 halafu vpimo sh 12,700. Nimeomba niandikiwe dawa nkatafuta kwingine hawataki, uwezo wa kulipia hzo dawa mie sina,
naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje au nitumie dawa gani nipone mapema kwani maumivu ni makali sana sehemu za siri na choo hamna infection. I'm MALE.
Leo nimepima mkojo na choo nimekutwa nina maambukizi ya urinary tract infections (UTI). Kwa kweli mwenzenu nina maumiv makali sana ya mwili na sehemu za siri. Tatzo n kwamba: nimepima hapa Marie stopes-Mwanza na gharama ya dawa nambiwa tsh 35,000 halafu vpimo sh 12,700. Nimeomba niandikiwe dawa nkatafuta kwingine hawataki, uwezo wa kulipia hzo dawa mie sina,
naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje au nitumie dawa gani nipone mapema kwani maumivu ni makali sana sehemu za siri na choo hamna infection. I'm MALE.
pamoja na dawa...kunywa maji mengi sana...hata lita tano ukiweza ni dawa nzuri ya UTI
Leo nimepima mkojo na choo nimekutwa nina maambukizi ya urinary tract infections (UTI). Kwa kweli mwenzenu nina maumiv makali sana ya mwili na sehemu za siri. Tatzo n kwamba: nimepima hapa Marie stopes-Mwanza na gharama ya dawa nambiwa tsh 35,000 halafu vpimo sh 12,700. Nimeomba niandikiwe dawa nkatafuta kwingine hawataki, uwezo wa kulipia hzo dawa mie sina,
naomba ushauri ndugu zangu nifanyeje au nitumie dawa gani nipone mapema kwani maumivu ni makali sana sehemu za siri na choo hamna infection. I'm MALE.
Pole sana! Hao jamaa wanacomplicate ur matter,they are completely doing business. UTI's are simply treatable at a very normal cost! Guy,embu nenda Bugando utapata tiba ya kwaida tu na kupona mapema kabisa...........in addition,kunywa maji ya kutosha to frequently empty ur bladder!
Eti hz dawa zitanisaidia:
Duocotecxine 3*3*3
Diclofenac 1*3*7. Hayo ni maelezo ya nesi wa duka la dawa.
Msaada: vp nkinywa na hzo Pelox itakuwaje?