Urgently needed Tutor!!

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
kwa aliyesoma B.com in Finance au B.com in Accounting anaweza kunipm kwa more details.

Kama upo Tanga, Moshi au Arusha itakuwa njema zaidi.

Asanten
 
Tindikali...elezea zaidi..habari yako ni nusu nusu...tutor wa chuo gani..aweje..salary!
 
Siku nyingine kabla hujaandika Tangazo la kazi angalia wenzio wanaandikaje then coppy and paste sio u atuandikia Tangazo utadhan umelazimishwa.
 
Huna lolote we ndo umedhirisha UBONZO wako kwa kuandika tangazo la kazi utafikili matangazo ya WAGANGA wa jadi.
we endelea kukesha humu na utasubiri sana, sikuja kuonesha ubingwa wa kuandika matangazo na sidhani kama kuwa au kutokuwa na lolote kuna msaada wowote kwako. Kama kuandika nilichoandika unadhani ni ubonzo acha tu nikupongeze kwa hilo.
 
Siku nyingine kabla hujaandika Tangazo la kazi angalia wenzio wanaandikaje then coppy and paste sio u atuandikia Tangazo utadhan umelazimishwa.

wenzangu wepi mkuu? Mbona unapenda kuishi kwa kukariri? Kipi ambacho akijaeleweka katika hii thread?
 
Back
Top Bottom