Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
Hi wadau naomba graduate yeyote wa IT ambaye hana kazi na yuko dar anitumie Cv TU kabla ya saa tatu na awe tayari kwenda kwenye interview kuna kampun wanahitaj watu 2 haraka leo hii. Nipm nikutumie email yangu kama kweli unashida.