MANYORI Jr
JF-Expert Member
- Mar 25, 2012
- 462
- 343
Psalm
calm down......
fanya uchunguzi kimya kimya... saa nyingine si kila unaloambiwa / unalosikia ni la kweli au likutie presha...
mfano ukifunga chuo unaweza kwenda kufanya uchunguzi, na angalia mwendo wa mwenzio, amebadilika nk
wanajamvi mi kijana mwenye umri wa miaka 23,kwa sasa ni mwanachuo hapa udsm.nimekuwa na mahusiano na dada mmoja ambaye nimepanga kumuoa aje awe mke halali.mdada huyu ye ni mwalim wa secondary huko mkoani,kabla ya mi kurudi huku dar chuoni nilikuwa naye kwa mda fulan ka week mbili hivi.lakini baada ya mi kuwa nimeondoka watu anaoishi nao wanasema amebadirika kkiasi cha wao kutokumwelewa vizuri!amekuwa akiomba ruhusa za mara kwa mara kwend mjini bila reason maalum,alaf kunatuhuma zngine nyingi tu ambazo yeye amezkana kabisa...hivi sasa mpaka naandika uzi huu yeye hayupo tena kituon amesafiri kwenda kumwona mamake.ila kabla ya kusafiri alinijulisha anakwenda tu nyumban na nilipomuuliza anaenda kufanyeje akasema anataka akaonane na babake aliyeko mwanza...ila jana kabadili na kunieleza anaenda kumwona mamake-mzee na mama hawaishi pamoja.inasemekana kutoka vyanzo vya uhakika kuwa amekuwa na uhusiano hivi karibun na mwalim fulan aliyekuja hapo shulen kwao ksimamia mtihani wa kidato cha nne......jamani nishaurini nifanyeje!? kwa sababu kila nikimuuliza anakataa na kusema haiwez ikatokea hivyo hata siku moja....msinikejeli kwa kuwa hiz ni changamoto za maisha ndani ya mapenz.naomba kuwasilisha uzi huu kwaajili ya msaada wenu tafadhari...
Calm down focus on your studies, usichukilie kwa wakati huu hayo unayopitia kwa uzito mkubwa sana. Ndiyo ni mapenzi yanaumiza lakini piga moyo konde na uache kumfuatilia sana. Na kadri utakvyomfuatilia tena hasa kw kupitia watu wengine ndivyo utakavyopata habari mbaya lakini zisizo na ushahidi moja kwa moja na utazidi kuumia.
Mwisho siku nyingine kama unapata habari kama hizo usimuulizeulize wewe tulia.
Siku hizi umekua?
Unakula mchicha??
Nimeiba pasiwedi yako
Ivi we ulitaka ule peke yako? Acha ubinafsi waache na wenzio wajipigie, we unadhani utampatia wapi wakumiliki peke yako! Tambua kabisa hyo mwenzio anamoyo wa nyama ivo usishangae akamtamani mwingine akamegwa.ivo ushauri wangu kaka maliza kwanza mishe zako siku ukitulia na kazi yako ndo usake mke, acha kukurupuka!