Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Sina hakika kama unatembelea jukwaa hili, lakini naomba kama upo, au kama kuna mtu mtu nazo namba zake au email yake, please aiweke hapa, au aniPM, nataka nijadiliane nae mambo machache juu ya Jimbo letu la Rombo, hasa maji na umeme. Please, this is urgent...