urgent: kwa wadada mnaoishi moshi

Dr.Chichi

JF-Expert Member
Apr 30, 2008
2,394
631
Habari zenu jamani.kutokana na mambo ya kazi sijamuona mama watoto kwa kitu kama mwezi hv.sasa nipo moshi kwenye seminar na inaisha leo na ningependa kumnunulia zawadi ya chupi au lingerie lakini sijui wapi kwa kuanzia.naombeni anayejua duka zuri kwaajili ya hv vitu anijuze pamoja na mtaa ambao hilo duka lipo.natanguliza shukran...
 
Nenda soko la Mbuyuni Arifu, kule utapata P*chu kuanzia za mwaka 47 hadi P*chu za Bukta...
 
Baada ya kicheko,kama unarudi fresh coach kuna duka special kwa ajili ya mambo hayo only..
 
Habari zenu jamani.kutokana na mambo ya kazi sijamuona mama watoto kwa kitu kama mwezi hv.sasa nipo moshi kwenye seminar na inaisha leo na ningependa kumnunulia zawadi ya chupi au lingerie lakini sijui wapi kwa kuanzia.naombeni anayejua duka zuri kwaajili ya hv vitu anijuze pamoja na mtaa ambao hilo duka lipo.natanguliza shukran...

kwani zile nilizomnunulia juzi kishazimaliza?? au hakukwambia.!??
Usijusumbue nilimpa box zima labda umtaftie sidlia maana ya siku ile wakati anavaa niliona ka imetoboka tobka...
 
Back
Top Bottom