Dr.Chichi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 2,394
- 631
Habari zenu jamani.kutokana na mambo ya kazi sijamuona mama watoto kwa kitu kama mwezi hv.sasa nipo moshi kwenye seminar na inaisha leo na ningependa kumnunulia zawadi ya chupi au lingerie lakini sijui wapi kwa kuanzia.naombeni anayejua duka zuri kwaajili ya hv vitu anijuze pamoja na mtaa ambao hilo duka lipo.natanguliza shukran...