Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,835
- 95,753
Urembo huu ni moja kati ya mitindo yenye kupendeza na kuvutia.
Ni mtindo maarufu sana kwenye maeneo ya pwani hususani ni Tanga, Unguja, Pemba Dar es salaam na Mombasa, na hata kwenye maeneo mengine pia fashion hii ila nadhani wote tutakubaliana ya kuwa kwa hakika ukanda wa pwani ndio kiboko yao.
Mtindo huu hutumika pia kwa mabibi harusi na hata wahudhuriaji maharusini na kwenye sherehe zozote zile au kwa ajili ya kujipamba tu. Ikiwa utapata mchoraji mzuri basi kwa hakika utavutia.
Ruksa na wewe kutupia picha zako mbali mbali zinazoonyesha mtindo huu wa Picco kama nawe ni mpenzi wa mtindo huu.
Ni mtindo maarufu sana kwenye maeneo ya pwani hususani ni Tanga, Unguja, Pemba Dar es salaam na Mombasa, na hata kwenye maeneo mengine pia fashion hii ila nadhani wote tutakubaliana ya kuwa kwa hakika ukanda wa pwani ndio kiboko yao.
Mtindo huu hutumika pia kwa mabibi harusi na hata wahudhuriaji maharusini na kwenye sherehe zozote zile au kwa ajili ya kujipamba tu. Ikiwa utapata mchoraji mzuri basi kwa hakika utavutia.
Ruksa na wewe kutupia picha zako mbali mbali zinazoonyesha mtindo huu wa Picco kama nawe ni mpenzi wa mtindo huu.