Wadau,kuna ukweli wowote kuwa aina ya style ya nywele(hapa na maanisha those permamnents one like kipara,dreads,natural hair,wale wanoweka dawa,wanaopenda kuvaa wigs,au kushonea weavings ) ambayo mwanamke anakuwa nayo huwa inadetermine huyo mwanamke ni mtu wa aina gani kimahusiano.things like mbabe,sophiscated,rough rider,hit(au hitted:boltand run,na vitu kama hivo.
naomba kuwasilisha!
Labda ungedadavua zaidi,
Kwa kuainisha kwamba labda dreads--->mbabe, wanaoweka dawa----> wahuni.
Na sisi tungejaribu kutafuta sample space yetu from women tunaowajua tukafanya analysis.
Funguka na sisi tukokotoe, Maybe we are looking at a new relationships socialpyschological concerpt here!
(japokuwa inawezekana tukiconclude kwamba natural hair ndo ideal women, wanawake wote wa jf wakaamua kuwa natural hair tukarudi kuiponda concept yetu mpya tuliyogundua)
naweza sema kuna style za nywele ambazo akisuka mdada ataonekana wa aina flan. mf. kwa wafanyakaz wa mabenk na ofc kubwa kama serikali. huwez kuta mdada kasuka weaving la rangrang km nyekundu,blue au kijan. hyo haitakiwi. na kuna ofc hutakiwi kufuga rasta. mf.mwngne ni zile style za wacheza show wa miziki ya dance huwez kwenda nazo ofcn. kuna kunyoa upande m1 na upande mwngne ukaachia pia haipendez kwa mdada anayejiheshimu. ngoja wadau wengne wake!
Mimi nilishafanya uchunguzi wangu binafsi kwa muda mrefu, Wale wa drade ni wababe na wanapenda campany za kiume zidi. Wale wa kukarikiti Wambea sana na wanapenda kujikweza(watu wa kushindana sana kifashion na wenzao)
huyu hajapendeza watu oo tusiponunua za bandia hatupendezi,huyu nae si mtanzania ama watu ni wabaya tu ama hawajiamini na nywele zao angalia na hii pia ya flavian matata
jamani kweli kwa nywele za asili hampendezi? ona na huyu nani anasema huyu hajapendeza na afro yake? utawasikia wanawake wanalalamika yaani mimi nisuke twende kilioni,kwani lazima usuke twende kilioni,si nywele zenu na staili ni ubunifu wenu. huyu kapendeza mbona. hata huyu nae hajapendeza?ama watu ndio wabaya? huyu ni mwanaume gani atasema hajampendeza ama hamtaki? ama tatizo watu ni wabaya tu na hawajiamini? good look. eti na huyu hajapendeza kwa sababu hajanunua nywele za bandia?ama tatizo wanawake wanaosema hivyo ni wabaya ama hawajiamni? hata leo nikiambia oa naenda kwa mzee kumwambia aandae ng'ombe pamoja na kwamba hana nywele za bandia matata huyu hajapendeza?
WANAWAKE EBU NIAMBIENI,NYINYI MNAOGA KILA SIKU ALAFU NYWELE ZINAACHWA WIKI NZIMA HAZIGUSI MAJI NA HATA WIKI MBILI KISA NI ZA BANDIA ZITAHARIBIKA, HAMUONI KAMA NI TATIZO NA NI UCHAFU NDO MAANA WENGI HAWAISHI KUSEMA NYWELE ZINANIWASHA,ZINAUMA, ZITAACHAJE KUWASHA WAKATI HAZIOGI WIKI NZIMA?NA HATA WAKATI MWINGINE ZINANUKA WEWE UNADUNDA TU ETI HAZIJAFUMUKA.
HEBU JARIBUNI NA KUBUNI STAILI ZA KIAFRIKA KWA NYWELE ZA KIAFRIKA.
eti mtu anatumia 50,000 kusuka kila wiki,wanaume mtatuua,si bora ufuge nywele zako kama hawa wadada na gharama ya kuzitunza inakuwa ndogo na zingine ile familia,kwa mwezi laki mbili inahitajika kwa ajili ya nywele,mbona balaa.
inategemea na uso na kichwa cha mtu pia wengine wana machogo unadhani wakinyoa watapendeza kama matata????????????
na ukumbuke wengine nywele zetu ni kipilipili mno tutazifuga kwa miaka mingapi mpaka zije kukua na kuvutia
itachukua miaka mingi mnoooo
hapana usijaribu kupotosha hakuna mwanamke anaetumia 50000 per week kwa ajiri ya kusukia labda wale matawi sana na hata hao sidhani
ghamara ya kusuka kimasai na mitindo mingine haizidi 40000 na hiyo inategemea na saloon
na ukisuka una weza ukaaa nazo wiki hata tatu
tunapozungumzia ubunifu hata kusuka rasta na yeboyebo ni ubunifu wa kiafrika pia
kuhusu hao wanaowashwa na nywele inawezekana ni uchafu wao binafsi nywele zilizosafishwa vizuri kabla ya kusuka huwa haziwashi ovyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.