Urasimu utumishi

mamboko

Member
Jun 20, 2012
14
3
Wakubwa ni bora ajira ingeenelea kutolewa kwenye kila taasisi maana usanii wa utumishi unatisha kwanza wao wenyewe hawana sifa za kumuiterview mtu ila wamejaa husuda tupu
 
Wanadai walikusudia kupunguza vimemo kwenye taasisi , ila kwa kweli vimemo vipo hata huko kwenye secretariat ya utumishi.
 
Dah, ingekua taasisi, ningekwisha ajiriwa by nw, ngoja 2subir intaview za kazi zilizotangazwa juz kati.
 
Wakubwa ni bora ajira ingeenelea kutolewa kwenye kila taasisi maana usanii wa utumishi unatisha kwanza wao wenyewe hawana sifa za kumuiterview mtu ila wamejaa husuda tupu
juzi juzi nilisoma comments za mtu mmoja humu akilaumu recruitment process ya TRA na akaisifia ya tume ya utumishi...akaenda mbali na kusema eti process za kuajiri za TRA zipelekwe utumishi..NIKAMSHANGAA MPAKA NIKAMUOGOPA. ukilinganisha na taratibu za mashirika mengi ya umma bado TRA wana unafuu kidogo pamoja na magumashi yao-kama yapo.

Kifupi wengi huwa wepesi kulaumu na wakati mwingine hatujui hata undani wa mambo. Taratibu za kuajiri za mashirika mengi ya umma si nzuri. Tena ukiwa competent,kwa utaratibu wa tume ya ajira utafeli tu...afadhali hata TRA au BOT,kama uko competent utaonekana tu na unaweza kupata ajira pamoja na hayo magumashi yao yanayolalamikiwa.
 
juzi juzi nilisoma comments za mtu mmoja humu akilaumu recruitment process ya TRA na akaisifia ya tume ya utumishi...akaenda mbali na kusema eti process za kuajiri za TRA zipelekwe utumishi..NIKAMSHANGAA MPAKA NIKAMUOGOPA. ukilinganisha na taratibu za mashirika mengi ya umma bado TRA wana unafuu kidogo pamoja na magumashi yao-kama yapo.

Kifupi wengi huwa wepesi kulaumu na wakati mwingine hatujui hata undani wa mambo. Taratibu za kuajiri za mashirika mengi ya umma si nzuri. Tena ukiwa competent,kwa utaratibu wa tume ya ajira utafeli tu...afadhali hata TRA au BOT,kama uko competent utaonekana tu na unaweza kupata ajira pamoja na hayo magumashi yao yanayolalamikiwa.[/QUOTE

nasikia kichefuchefu hapa nilipo
 
juzi juzi nilisoma comments za mtu mmoja humu akilaumu recruitment process ya TRA na akaisifia ya tume ya utumishi...akaenda mbali na kusema eti process za kuajiri za TRA zipelekwe utumishi..NIKAMSHANGAA MPAKA NIKAMUOGOPA. ukilinganisha na taratibu za mashirika mengi ya umma bado TRA wana unafuu kidogo pamoja na magumashi yao-kama yapo.

Kifupi wengi huwa wepesi kulaumu na wakati mwingine hatujui hata undani wa mambo. Taratibu za kuajiri za mashirika mengi ya umma si nzuri. Tena ukiwa competent,kwa utaratibu wa tume ya ajira utafeli tu...afadhali hata TRA au BOT,kama uko competent utaonekana tu na unaweza kupata ajira pamoja na hayo magumashi yao yanayolalamikiwa.

Mkuu danganya wasiojua! TRA na BOT hawafai daima ni wapuuzi wakubwa udini na ukabila ndo ngao yao
 
Dah, ingekua taasisi, ningekwisha ajiriwa by nw, ngoja 2subir intaview za kazi zilizotangazwa juz kati.

kama ni taasisi mbona Tra,nssf,Tpa,Ewura,Sumatra,nhif wanatangaza mbona huko hupati?jamani twende mbele turudi nyuma kiukweli ni bora hawa utumishi wapendelee na jukumu la kuajiri watumishi wa umma kuliko taasisi zenyewe huko kuna urasimu wa kutisha na ndiyo maana taasisi zimejawa na makabila fulani kisa wakurugenzi wanatokea kabila fulani,ata kama utumishi kuna urasimu basi ni kidogo sana lakini kwa hizi taasisi zinazoajiri zenyewe urasimu ni mkubwa sana na ni wa kutisha mimi nashauri tuiombe serikali ichukue jukumu la kuajiri wafanakazi wote wa serikali pamoja na taasisi zote mfano TRA,Nssf,Nida,Tanesco,Ewura,Ssra,TPA,Nhif,Pspf,Ppf, na taasisi zingine zote za serikali mwajiri awe ni Utumishi ili kupunguza urasimu lakini hizo taasisi zote zimetawaliwa na urasimu kwa kiasi kikubwa sana bora jukumu lote la ajira za serikali na taasisi zake wapewe Utumishi!
 
Hapa ndugu tupo pamoja, mimi kila kazi inayotoka kupitia tume ya ajira tangu january sijaitwa na hakuna aliyeitwa; sasa ina maana ata wale wanaopeleka hitaji lao kwao wanafanyaje kazi ingali watu hawajaajiriwa??? Huu ndo UDHAIFU WA SERIKALI UNAOZUNGUMZWA lakini hawataki kukubali. Mijitu imekaa maofisini inawaza wizi tu badala ya kufanya kazi huu ni upuuzi.

Kama wameshindwa kazi warudishe utaratobu wakila taasisi kuajiri wenyewe. DHAIFU DHAIFU DHAIFU mpaka basi AAAhh
 
Utumishi wenyewe mbona hawajaita interview hadi leo ndugu, mbona hujionei huruma au una kazi nini mwana!! Wenzio hatuna kazi tangu tumetoka chuo. Utumishi hawafai kabisa kufanya hii kazi.

Bora wapewe ata internation recruiters ambao hawamju Kilahunja wala kimboko tungepata hizo ajira. Alafu Ajira zenyewe wanaweka masharti kibao, kaangalie Mshahara wenyewe utatamani kumpiga mtu makofi!!!
 
mimi kama mdau i say utumishi hawana lolote lile zaidi ya kupata night za kwenda kufanya interview huko mikoani. ukikutana nao mahoteilini wanataka uwaabudu kama mungu, kwa hilo mimi siliwezi bora nikalime kwetu kijijini. lakini kwanini watanzania tumegubikwa na urasmu wa ajabu kiasi hicho.
 
  • Thanks
Reactions: KUN
Utumishi wenyewe mbona hawajaita interview hadi leo ndugu, mbona hujionei huruma au una kazi nini mwana!! Wenzio hatuna kazi tangu tumetoka chuo. Utumishi hawafai kabisa kufanya hii kazi.

Bora wapewe ata internation recruiters ambao hawamju Kilahunja wala kimboko tungepata hizo ajira. Alafu Ajira zenyewe wanaweka masharti kibao, kaangalie Mshahara wenyewe utatamani kumpiga mtu makofi!!!

hahaha kwikwikwi
 
Wakubwa ni bora ajira ingeenelea kutolewa kwenye kila taasisi maana usanii wa utumishi unatisha kwanza wao wenyewe hawana sifa za kumuiterview mtu ila wamejaa husuda tupu

Ndugu mimi nakuunga mkono asilimia mia moja na moja!!!

Hivi hizi taasisi zinazohitaji watumishi tangu mwaka jana wanafanyaje kazi hadi leo.

Hii ndio udhaifu maana tukizungumzia udhaifu siyo wa raisi peke yake, ni wa kila mahali serikalini na watu wa chini ya raisi ndo wanafanya aonekane dhaifu.

WAFUTILIE MBALI HII TUME YA AJIRA!!!
 
Mimi nafikiri njia muafaka siyo kuvunja tume au kurudisha ajira kwenye taasisi husika. Swala ni kumomonyoka kwa maadili ya utumishi wenyewe toka kwenye utumishi unaoajiri hadi huko kwenye taasisi husika. Rushwa, urasimu, ukabila, kujuana n.k. kumetawala watendaji wetu kuanzia chini hadi juu kwa wenye nafasi za kufanya maamuzi. Tutarudisha maadili na kufuata sheria ndiyo swala kubwa. mabadiliko yataanzia kwetu tunatafuta kazi. Leteni Mapinduzi vijana acheni kulalamika tu. Come up with some solutions.
 
Yaani ni bora utumish isingekuwepo, kujuana tu kule. Asa kama zile nafas 100 za auditing watu tayari walikuwa na pepa. Wanaita watu kwny interview huku tayar wana watu wao. Hii nchi bwana
 
Back
Top Bottom