Azadirachta
Senior Member
- Oct 9, 2010
- 171
- 11
Hii kauli bado inanipa kichefu chefu sana! Hivi huyu bwana akifanikiwa kuwa raisi akamchangua Ridhiwani kama Balozi wa Tanzania UN, Salma kuwa mbunge wa kuteuliwa na waziri wa Fedha, na Miraji kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha, na Kale Ka Halfan kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kiteto kuna atakataye hoji? Maana Katiba yetu inamapengo sana raisi ana rungu kubwa sana!