Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,582
- Thread starter
- #81
and re use!..Cycled and recycled!
and re use!..Cycled and recycled!
Mkuu Pasco Mayalla
Pole sana nilikuwa sijakujibu muda mrefu maana naona kila siku anaangaika kwa ajili ya Zitto
Mimi ni CCM damu lakini nakuhakikishia kuwa Zitto anatumika wewe subiri true colour will show.......
Kama ilivyokuwa kwako baada ya kugundulika kuwa wewe ni mwanaCCM mwenzetu ukawa unasema
wewe ni independent advicer mara Political Analysist lakini yote kwa yote hakuna chochote na wewe your
true colour show at the end
Last:.................... Pasco Njaa Mbaya tujenge taifa letu tuache siasa za majungu................
Kuhusu wagombea hawa wawili ni muhimu pia utazame michango ya wanabodi wengi sana hawampendi Zitto na sababu zake zimeelezwa. Pamoja na hayo hatuwezi kudai hakuna Udini, Ukabila wala Ukanda ikiwa sisi wenyewe tunashindwa kuonyesha takwimu ama utafiti wetu wenyewe ktk matokeo kama haya. Na tunashindwa pia kuziba midomo yetu kuonyesha Udini, Ukanda na hata Ukabila..Nilikuwa napitia hiyo mada ya Pasco, ukisoma kwa makini ni kama mtu aliyetumwa na ZZK kuandika hayo, au ni ZZK mwenyewe ameandika, angalia sana anavyojaribu kubold UDINI, UKABILA, UKANDA, nadhani there is no way unaweza kumpatia mtu asiyekuwa na sifa kujaribu post kubwa kwa kuhofia na kutanguliza eti UDINI, UKABILA, UKANDA, nadhani kuna poll iliwekwa humu JF, ili watu bila kujali dini, kabila, kanda, wapige kura wajiridhishe waone kati ya watu wawili tu nani anaweza kupeperusha bendera ya CDM mwaka 2015, mpaka leo ZZK ana kama 15% tu na Yule mzee anayetukanwa sana na CCM ana kama 85% Nadhani asilimia hizi hazina reflection kwenye dini, Kabila, wala kanda ! Dini gani ina watu wanaofika 85% ? kabila gani lina watu wanaofika 85% Kanda gani in watu wanaofikia 85%. Unless mniambie kuwa humu JF wamezidi watu wa dini fulani au kabila fulani, au kanda fulani, WHICH IS QUITE WRONG. Nadhani imefika wakati tujenge hoja, tujadili, tuchambue, tuone ukweli uko wapi ! NAPITA TU !
Mkuu Joka Kuu, kwanza nakushukuru kwa objectivity yako na frankness kumhusu ZZK. Kwa vile nafahamiana na ZZK, naanza kuchelea kujibu baadhi ya post humu nikaonekana nimetumwa na ZZK hivyo mimi ni mouthpeace yake!.Pasco,
..matatizo ya Zitto na mashabiki/wanachama wa CDM yalianza baada ya kuteuliwa kwenye tume ya Jaji Bomani.
..kuna ambao walitaka Zitto akatae uteuzi huo kwa imani kwamba tume hiyo ingekuwa sawa na tume nyingine za serikali, ambazo zimekutumika kuhalalisha uzembe wa serikali.
..wengi waliamini kwamba Zitto atatumika kuhalalisha uzembe wa serikali ktk utiaji saini mikataba mibovu ktk sekta za madini na nishati.
..mashaka hayo yalitiwa nguvu zaidi baada ya Zitto kuonekana "kulainika" kimsimamo baada ya kutumikia kama mjumbe wa tume ya Jaji Bomani. nakumbuka baada ya hapo ndipo Zitto akajitokeza waziwazi akijenga hoja kwamba serikali inunue mitambo ya dowans.
..suala lingine ambalo liliamsha mori wa mashabiki wa CDM ni pale Zitto aliposhindwa kutokea bungeni kuungana na wenzake kutoka nje wakati JK anahutubia. kitendo cha Zitto kilikiumiza chama ambapo mbele ya jamii CDM walionekana kukosa ile nidhamu ya uwajibikaji wa pamoja.
..wanachama na mashabiki wengi wa CDM wanapenda viongozi wao wawe na msimamo mkali dhidi ya CCM na serikali yake. mwanzoni Zitto alikuwa kipenzi na tegemeo la kundi hilo, lakini hapa katikati amewa-disappoint manazi wa CMD kutokana misimamo yake laini-laini, pamoja na siasa zake za mlengo wa kati.
NB:
..binafsi I crossed Zitto off my list kutokana na msimamo wake kuhusu ushiriki wa Tanzania ktk jumuiya ya Afrika Mashariki.
Thanks Mkuu COMRADE CHRIS HANI, ukikubali kuwa mkweli, lazima uwe tayari kukubali matokeo including to pay the price!. Miongoni mwa gharama ni kuchukiwa "an anemy of the people"!. Humu jf nimeisha zoea kubezwa, kutukanwa, kudhihakiwa but at the end of the day, kweli itasimama!.....uh! kamanda..naechelea kwamba kwa ukweli uliousema (mi naukubali wote, pamoja na kuwa mchungu ka shubiri)...subir uone maneno mbofu mbofu yatakayoelekezwa kwako...kwa kosa gani? kuuchambua ukweli kama ulivyo...salute kamanda!!!!
Mkuu Lunyungu, with due respect, asante!.Kama ilobyo TBC yako kumbe akili zako nazo ndivyo zilivyo ? Najua wewe ni mtumwa huko ila sikutegemea mawazo duni kama Duni wa KAFU kama haya
Kiukweli kilichonisukuma kuandika haya ni njaa tuu!. Nimeyaandika hayo ili nivute kitu kidogo kutoka kwa ZZK ili angalau mkono uende kinywani, tumbo lijae, siku ipite!, kesho nitafuta issue nyingine ya kuvutia fungu!, and that is how I survive!.
Kwa hiyo wenye right ya kuzungumza mambo ya Chadema, ni Chadema wenyewe?, hivyo huo uongozi wanaotafuta ni kuwatawala wanachama wao tuu?, mimi kama Mtanzania, nina haki ya kutoa maoni yoyote kuhusu chama chochote au mtu yoyote anaetafuta public office ili tusije ingizwa chaka!.mkuu unahangaika sana na issue ya zito,mbona ulishasema wewe sio chadema sasa kelele nyingi za nini,
Pasco unatumikia mabwana wawili EL na ZZK
Mkuu Safari ni Safari, as a mater of fact, I'm a father of six!, 3 boys na 3 girls, 4 of them ni teens!. Kama mzazi nazungumza pont blank na watoto wangu kuhusu choice za marafiki zao!, ninawaeleza mabinti zangu all about men kwa dose ndogo ndogo according to their age!. Tena nimewaruhusu wawalete rafiki zao nyumbani ili kama mzazi uonde kinds of associations na kuwapa muongozo ili kesho na keshokutwa waweze ku manage healthy friendships ikiwa ni pamoja na kuwatoa out from time to time na sio kusubiri vijana ndio wate kunitolea hao mabinti na kuwapeleka vichochoroni!.Pasco,
Kwa hiyo wewe mathalan una binti ana miaka 15 halafu mtu akakwambia kuwa akifikisha miaka 18 atakuja kumposa utajisikiaje? Kwa nini asisubiri mtoto afikishe hiyo miaka 18(umri wa mtu mzima) ndio aje kuposa?
Kama unadhania, kitendo changu cha kumpigia debe EL ndio niko kwenye kambi yake!, you are wrong!, so do kambi ya ZZK kama ipo!. Mimi huwa na express my opinion freely, sina chama, sina kambi, sina upande zaidi ya kuweka mbele maslahi ya taifa!.EL na ZZK wako kambi moja.
Tuna miaka 3 tuu kabla ya uchaguzi, we need ample time kuwapima hawa wanaotaka uongozi wa taifa letu!. JK ndio huyu ametuingiza chaka, unazubiri mpaka 2015 surprises names ziibuke tuingizwe chaka tena?. What is wrong kuonyesha nia mapema ili watu wakupime according to vigezo?!.
Mpango huu ni miongoni mwa njama zinazoandaliwa kwa ajili ya Chama Tawala kuangamiza upinzani wa kisiasa nchini.
Mgombea binafsi wa kiti cha urais ama ubunge atakuwepo kwa mujibu wa Katiba Mpya ijayo. Zitto utashawishiwa kugombea nafasi mojawapo kati ya hizo mbili nje na Chama ulichopo sasa. Kisha utaahidiwa uwaziri wa fedha ama madini. Utategwa ujichagulie kati ya nafasi hizo. Lengo litakuwa ni kuhakikisha unajiengua CHADEMA ili kusababisha mgawanyiko katika idadi ya wapiga kura waliowaumini wa vyama vya upinzani, CHADEMA ikilengwa.
Nawe Zitto utashawishika kwenda huko, utagombea urais, utashindwa lkn utakuwa umefanikiwa kuleta mgawanyiko ktk suala zima la wapiga kura. Ila hutaachwa hivi hivi, utapewa ubunge wa kuteuliwa kama ilivyo kwa Mtu Makini Joseph Mbatia, kisha utaingizwa Serikalini kuchukua mojawapo ya hizo nafasi nilizokutajia hapo juu.
Sasa hilo litakuwa ndiyo ANGUKO lako la jumla katika siasa za Tanzania, nawe utafuata nyayo za Waridi Amani Kaborou.
Yawezekana hulijui hilo lkn laandaliwa na laja kwa ajili yako. Tafakari wewe ni kijana mwenye uwezo mkubwa wa kufikiti. FIKIRIA
Mimi tu kukuletea habari.
Kama unadhania, kitendo changu cha kumpigia debe EL ndio niko kwenye kambi yake!, you are wrong!, so do kambi ya ZZK kama ipo!. Mimi huwa na express my opinion freely, sina chama, sina kambi, sina upande zaidi ya kuweka mbele maslahi ya taifa!.