Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Wana jamvi katiba mpya ielekeze huu ukomo ili viongozi wasilewe madaraka. Viongozi wengi wanajiona wao ndio serikali wao ndio kila kitu. Baada ya hiyo hatutakuwa na watu kibao mule ndani kama bibi kiroboto, toka sijazaliwa hali leo wife na kids wapo. ngrrrrrr!