Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Hivi kwani kuna ubaya gani Nasari na Halima wakitamani ZITTO awe rais? how is it different from those who wish Membe au Lowasa kuwa rais?
Nadhani ushauri wangu kwa ZITTO ni kuwa makini na hili la urais, historia inaonyesha wote wanaaoutaka saaaana hawaupati.
Nadhani ushauri wangu kwa ZITTO ni kuwa makini na hili la urais, historia inaonyesha wote wanaaoutaka saaaana hawaupati.