Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Mkandara, umeongea kama tuhuma but with no substance in it unaweza kujaza nyama nilipobold ili tujadili vizuri, maana hapa nashindwa nikujibu nini au nijibu kama ulivyosema CDM kitafika 2014, hakitishi watu na kiko tayari kuchukua nchi, does it make sense?Mkuu wangu nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa sana lakini ukweli unauma lazima niseme kwamba Chadema ni chama ambachoo hakiko tayari kuchukua nchi. Na hatuwezi kuishinda CCM kupitia sanduku la kura hata siku moja iwe Dr.Slaa au mgombea mwingine yeyote unless chama hiki kifanye marekebisho makubwa sana ndani ya chama na wanachama wake..
Kusema kweli sasa hivi Chadema kinatisha watu zaidi ya vile mnavyo fikiria. Amini maneno yangu mkuu wangu CDM msije fikiria kabisa kwamba mnayo nafasi kubwa ya ushindi leo zaidi ya mwaka 2010 ila nitasema hivi chama kinashuka umaarufu wake na kinajenga jina baya kwa wananchi kila siku ya Mungu aidha mnalijua hili na kulipuuza au hamjui.
Kama tusipofanya marekebisho haraka sana iwezekanavyo, kufikia mwaka 2014 chama kitakuwa kimesambaratika na pengine chama kingine kuundwa na yote haya yanatokana na watu wachache sana ndani ya chama. Mkuu Mbowe, mh. Zitto, Mh. Dr.Slaa naomba nisomeni..
- Take it from me...An ear to the ground!