Urais CHADEMA moto 2015: Dk Slaa, Mbowe, Zitto hapatoshi

Ritz,

Suala la mgombea Urais ndani ya chadema linjulikana kwamba linategemea mchakato wa kidemokrasia na muafaka ndani ya chama chetu.Siyo kama ilivyo kwa CCM ambako hadi wanajimu walitumika kumtishia yeyote ambaye angetaka kupambana na JK.Pia usisahau maneno ya katibu mkuu Yusuf Makamba kwamba alikuwa tayari kufungwa kwa ajili ya JK,yaani demokrasia huko ni mwiko

Leo hii mgombea urais wa chadema mwaka 2010 Dr. Wilbroad slaa anaonekana mwenye appeal kwa watanzania kuliko Jk na ni tumaini kubwa kwa watanzania.Pia usisahau kwamba Chadema kimejipanga kuwa na hazina kubwa ya viongozi wa baadae

Dr. Slaa is proof that more can be achieved with his moderate and pragmatic style in Tanzania than with the uncompromisingly hardline stance of much celebrated chaps in CCM. You then , as a focused opposition politician , need a hands-on approach , between election periods, to gain support, visibility and acceptance .

I am just not comfortable with folks thinking they have a divine right to be supported to win when , between elections, those folks do not behave like oppositions who want to win . Anyone who seriously wants to defeat the CCM crew should start their effort now (but without jeopardise harmony and peaceful co-existence within the party) or save us the finger pointing in 4 years time .

I personally believe it is not difficult to defeat the CCM if the opposition has the energy, enthusiasm and ideas to stay the course instead of going to sleep for 4 years and hoping to win magically during election when issues such as the mental divisions of Tanzanians still play a huge part in how people vote

Instead our Politicians in opposition remain indolent before election time yet they want to defeat the Chama Cha Mapinduzi with 3 months of election campaign alone.

NB: Halafu ukishauri chama chako(just in case you are a CCM Cadre) kirudi kwenye mstari kabla ya 2014 kwani hukumu yenu itakuwa kubwa,utakuwa ni uchaguzi utakao-evaluate falsafa ya maisha bora kwa kila mtanzania kama chama ,na pia uchaguzi utakaopima confidence ya wananchi kwa mgombea atakayejiita bora lakini ndani ya chama kibovu kisicho na rekodi ya kuwatendea mema watanzania dhidi ya ilani bora na mgombea bora wa chadema
Mkuu wangu nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa sana lakini ukweli unauma lazima niseme kwamba Chadema ni chama ambachoo hakiko tayari kuchukua nchi. Na hatuwezi kuishinda CCM kupitia sanduku la kura hata siku moja iwe Dr.Slaa au mgombea mwingine yeyote unless chama hiki kifanye marekebisho makubwa sana ndani ya chama na wanachama wake..

Kusema kweli sasa hivi Chadema kinatisha watu zaidi ya vile mnavyo fikiria. Amini maneno yangu mkuu wangu CDM msije fikiria kabisa kwamba mnayo nafasi kubwa ya ushindi leo zaidi ya mwaka 2010 ila nitasema hivi chama kinashuka umaarufu wake na kinajenga jina baya kwa wananchi kila siku ya Mungu aidha mnalijua hili na kulipuuza au hamjui.

Kama tusipofanya marekebisho haraka sana iwezekanavyo, kufikia mwaka 2014 chama kitakuwa kimesambaratika na pengine chama kingine kuundwa na yote haya yanatokana na watu wachache sana ndani ya chama. Mkuu Mbowe, mh. Zitto, Mh. Dr.Slaa naomba nisomeni..
- Take it from me...An ear to the ground!
 
Mkuu wangu nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa sana lakini ukweli unauma lazima niseme kwamba Chadema ni chama ambachoo hakiko tayari kuchukua nchi. Na hatuwezi kuishinda CCM kupitia sanduku la kura hata siku moja iwe Dr.Slaa au mgombea mwingine yeyote unless chama hiki kifanye marekebisho makubwa sana ndani ya chama na wanachama wake..

Kusema kweli sasa hivi Chadema kinatisha watu zaidi ya vile mnavyo fikiria. Amini maneno yangu mkuu wangu CDM msije fikiria kabisa kwamba mnayo nafasi kubwa ya ushindi leo zaidi ya mwaka 2010 ila nitasema hivi chama kinashuka umaarufu wake na kinajenga jina baya kwa wananchi kila siku ya Mungu aidha mnalijua hili na kulipuuza au hamjui.

Kama tusipofanya marekebisho haraka sana iwezekanavyo, kufikia mwaka 2014 chama kitakuwa kimesambaratika na pengine chama kingine kuundwa na yote haya yanatokana na watu wachache sana ndani ya chama. Mkuu Mbowe, mh. Zitto, Mh. Dr.Slaa naomba nisomeni..
- Take it from me...An ear to the ground!

Kwenye harakati xa ukombozi watu kama nyie hamkosekani.Nakumbuka wewe ni mtu wa kwanza uliyepinga Slaa asiwe mgombea urais.Ulidai kama chadema kingemsimamisha kingeshindwa vibaya na bungeni nguvu ya Slaa ingekosekana.Juzi umelalamikia sana uteuzi wa Mnyika na kusema hafai kuwa mkurugenzi wa habari na uenezi.Ninachowashauri Slaa,Mbowe na viongozi wengine msikatishwe tamaa na watu kama hawa.Jengeni chama mtakumbukwa na historia.
 
hamna hata mwenye sifa hapo. kuwa wabunge tu wameshindwa kuzuia nepotism, sasa wakiwa rais itakuwaje? think, tundu lissu=christina lissu, wilbroad peter slaa=rose kamili, zitto=some body, mbowe ndo usiseme.
Hakuna hata mmoja mwenye sifa hapo. nyerere amekaa 25years ikulu bila nepotism.

nashukuru kwa kutukumbusha hilo.Nalog off
 
Gazeti la Mwananchi limechapisha hii habari kiudaku udaku hivi. Yaani mwandishi kakusanya udaku wake toka huku na kule kafanya habari! Hata hakuna cha kujadili hapa.
 
Ni vyema kujadili sasa ili waoplan kugombea wajue ni kiongozi wa namna gani tunayemuhitaji. Inawezekana wengine wakajiengua wenyewe tu kukosa sifa tunazozitaka na hivyo kuepusha migogoro inayoweza kuja kujitokeza huko mbele ya safari.

Dk Slaa ndiyo tegemeo letu si kwa cdm tu watanzania wote. Mbowe W/Mkuu, Ztt W/Nishati Lema Mambo ya ndani Lisu Sheria na ktba, H,Mdee Aridhi, Mnyika W/Nchi ofisi ya Rais utawala Bora, Prof Baregu Ktb Kiongozi, Marando AG (2015)
 
Kwenye harakati xa ukombozi watu kama nyie hamkosekani.Nakumbuka wewe ni mtu wa kwanza uliyepinga Slaa asiwe mgombea urais.Ulidai kama chadema kingemsimamisha kingeshindwa vibaya na bungeni nguvu ya Slaa ingekosekana.Juzi umelalamikia sana uteuzi wa Mnyika na kusema hafai kuwa mkurugenzi wa habari na uenezi.Ninachowashauri Slaa,Mbowe na viongozi wengine msikatishwe tamaa na watu kama hawa.Jengeni chama mtakumbukwa na historia.
Wewe mgeni JF na kama ungekuwa mwenyeji usingeyasema haya yote...Mimi nilikuwa mpambe wa kwanza JF kumpigia debe kabla hta Chadema hawajaamua nani agombee na nikaeleza kwa nini nampendekeza Dr.Slaa. Kwa hiyo najua unatokea wapi maana watu kama nyie mnaojitazama kwa rangi zenu, dini zenu na kadhalika ndio nawazungumzia haswaaaa! mmejaa Chadema na nakuhakikishia mtakiua chama.
 
Hata hivyo sidhani Zitto K, kama atakuwa amefikisha miaka 40 kikatiba ya kugombea Urais ifikapo 2015 atakuwa na 39 (kama sijakosea)
 
Wewe mgeni JF na kama ungekuwa mwenyeji usingeyasema haya yote...Mimi nilikuwa mpambe wa kwanza JF kumpigia debe kabla hta Chadema hawajaamua nani agombee na nikaeleza kwa nini nampendekeza Dr.Slaa. Kwa hiyo najua unatokea wapi maana watu kama nyie mnaojitazama kwa rangi zenu, dini zenu na kadhalika ndio nawazungumzia haswaaaa! mmejaa Chadema na nakuhakikishia mtakiua chama.

Acha kupiga Ramli kama mganga wa kienyeji.Hiyo Ramli yako ndio imekuambia CDM itasambaratika kabla ya 2014? Unawakatisha tamaa wanachama ili upate nini? Isitoshe usidhani kila mtu ni mgeni hapa.Wengine sisi ni visitor maarufu wa mtandao huu tangu umeanzishwa.Tumeamua kuingia kama registered ili kupambana na upotoshaji wa kupiga ramli.Namkumbuka sana Sheikh Yahya aliyesema wapinzani wa JK wote wangekufa kabla ya uchaguzi mkuu.Matokeo yake ametangulia yeye mbele ya haki.Kuna tofauti gani kati ya ramli za Mkandara na za Sheikh Yahya?
 
Nalaani mawazo yako kwa sauti kuu. Tambua kwamba chadema ina taratibu zake za kudili na kila kitu kama tulivyljipambanua katika katiba yetu.

Tunafahamu kwa hakika kwamba ni mengi yatazushwa kuhusu hili ila jua kwamba hapatakuwa na effect kubwa kwa kuwa chadema ina watu makini na inatambua umuhimu wa kuepuka migogoro kama hii ili kulinda heshima, imani na ustawi wa chama, humu JF kuna watu wengi na pengine wewe ni mmoja wao wanaozua mitafaruku na hoja za hovyo kuwapotosha wavivu wa kufikiri, sil leo hata kesho chadema itaweka mkazo zaidi katika kutoa elimu ya uraia, kuisimamia serikali legelege ya ccm na mwisho itatumia katiba yake huru kumchagua mgombea urais 2015. Huna sababu ya kuhisi vituko na nakuomba jaribu kuomba mungu katiba mpya ya tanzania ipatikane kabla ya uchaguzi mkuu ujao na hapo we shall have a lot to talk and worry about.

Kwetu sisi chadema, watanzania ni muhimu kuliko urais. Kama nimekukwaza niwie radhi but thats the reality sir.

Ni mimi,
Pangu Pakavu.

Sina hakika na Zitto kuutaka urais 2015, ila Freeman Mbowe anautaka sana tena sana.

Lakini niseme huhiitaji kuwa na PhD kwenye uchambuzi wa mambo ya siasa kujua kuwa kama CHADEMA watamsimamisha Mbowe, basi watashindwa vibaya sana.

Dr Slaa sio tu ana uwezo mkubwa kwenye uongozi lakini dhamira yake inagusa wengi. Watanzania wana imani naye na naweza kusema kuwa ni Dr Slaa ndiye amebadilisha kabisa 'fabric' ya siasa. Kama asingegombea mwaka 2010 ni dhahiri tungeendelea na ule wimbo wa kupata 2% ya kura za urais kwa mgombea wa upinzani. The man is consistent, well informed na anasimamia kile anachosema.

Hivi kuna mzungu yeyote atakayethubutu kumnunulia suti Dr Slaa ili apate kibali cha kuendeleza biashara zake hapa? Je, Mbowe ana mshipa wa kukataa kununuliwa suti?

Ushauri wangu, Mbowe aachane kabisa na ndoto za urais kwa sasa, ajielekeze kwenye kuimarisha chama.
 
Una wazimu wewe aliyekwambia Mbowe ananunulika nia nani? Angekuwa hivyo CHADEMA ingeshauzwa long time, fanya research na kwa taarifa yako "no Mbowe no more chadema" Chama kinaendeshwa na Mbowe wengine woooote wanafuata ideas za Mbowe.

Amekua mbunifu wa mambo mbalimbali ndani ya chama. Uliza uambiwe sio unaropoka tu hapa jamvini

@chinekee, with due respect, kama umenisoma vizuri nimeuliza (swali) kama Mbowe ana uwezo wa kukataa suti. Kwa maelezo yako inaelekea wewe unamfahamu vizuri au walau umefanya research kuhusu moral-compass yake (Mbowe), hivyo ingekuwa vema kama ungenipa jibu la "yes or no' kuhusu zawadi za suti.

Ila nikudokeze, bongo tambarare. Sikupiga ramli ili nijue nini cha kuandika na ndio maana nikasema sina hakika na madai ya Zitto. over to you ndugu!
 
Nalaani mawazo yako kwa sauti kuu. Tambua kwamba chadema ina taratibu zake za kudili na kila kitu kama tulivyljipambanua katika katiba yetu.

Tunafahamu kwa hakika kwamba ni mengi yatazushwa kuhusu hili ila jua kwamba hapatakuwa na effect kubwa kwa kuwa chadema ina watu makini na inatambua umuhimu wa kuepuka migogoro kama hii ili kulinda heshima, imani na ustawi wa chama, humu JF kuna watu wengi na pengine wewe ni mmoja wao wanaozua mitafaruku na hoja za hovyo kuwapotosha wavivu wa kufikiri, sil leo hata kesho chadema itaweka mkazo zaidi katika kutoa elimu ya uraia, kuisimamia serikali legelege ya ccm na mwisho itatumia katiba yake huru kumchagua mgombea urais 2015. Huna sababu ya kuhisi vituko na nakuomba jaribu kuomba mungu katiba mpya ya tanzania ipatikane kabla ya uchaguzi mkuu ujao na hapo we shall have a lot to talk and worry about.

Kwetu sisi chadema, watanzania ni muhimu kuliko urais. Kama nimekukwaza niwie radhi but thats the reality sir.

Ni mimi,
Pangu Pakavu.

Hakuna haja ya kuandikia mate, msimamisheni Mbowe 2015 halafu tuone!
 
Acha kupiga Ramli kama mganga wa kienyeji.Hiyo Ramli yako ndio imekuambia CDM itasambaratika kabla ya 2014? Unawakatisha tamaa wanachama ili upate nini? Isitoshe usidhani kila mtu ni mgeni hapa.Wengine sisi ni visitor maarufu wa mtandao huu tangu umeanzishwa.Tumeamua kuingia kama registered ili kupambana na upotoshaji wa kupiga ramli.Namkumbuka sana Sheikh Yahya aliyesema wapinzani wa JK wote wangekufa kabla ya uchaguzi mkuu.Matokeo yake ametangulia yeye mbele ya haki.Kuna tofauti gani kati ya ramli za Mkandara na za Sheikh Yahya?
Tukana yooote uyamalize hakikisha tu kwamba hayatokei....Sasa Bofya hapa kisha tuendelee...
 
Ccm ambayo kwa vyovyote lazima ishinde uchaguzi ujao hata ikiwahi ndani ya katiba mpya:
Kihalali chaguzi nyingi za ubunge na udiwani imashidwa sana ikiwa pamoja na kiti cha uraisi uchaguzi uliopita kwa tume halali ccm kitakuwa chama cha upinzani ha hata kambi rasmi ya upinzni hakitapata
 
Baba, hapa naona ni mchina na mhindi wanahojiana, ila napenda kukukumbusha maneno ya alhaji Dr Didas Masaburi ya namna mtu anavyoweza kufikiri...

Hakuna haja ya kuandikia mate, msimamisheni Mbowe 2015 halafu tuone!
 
Kuna msemo ambao viongozi wa CCM hupenda sana kuutumia 'uchaguzi umekwisha sasa tufanye kazi tuache siasa', but they don't walk the talk. Kwa vile sasa wameshindwa dawa iliyopo ni kuvilisha kasa vyama vingine vifanane kama wao, ukiangalia hata mwaka haujaisha tayari wameanza kutoana 'roho' kugombea kumrithi rais huku wakijidai wao ni wakomavu wa siasa, ni aibu kwa kweli.

Nakishauri Chadema chama mbadala kilichojipambanua angalau kuwa tumaini la wananchi kisiingie huo mtego, nashauri wawe wakali kumkemea mtu yeyote atakayetaka kuwapeleka huko. Uongozi ni kipaji na kipaji hakinunuliwi kama mtu anataka kuwania urais afanyekazi muda ukifika wananchi wenyewe watamuomba (ataonekana) au kamati itamteua kama ilivyomteua Slaa hakuomba. Tusiige kila kitu, inawezekana wenzetu (CCM) wamezoea kugombania vyeo, tutawaona leo wanagombana lakini wakishampata mgombea wanaungana tunabaki sisi tunagombana hadi siku ya uchaguzi.

Kama ben alivyoshauri hapo juu wakati huu si wa kugombea urais, chama kiendelee kueneza elimu ya uraia ikiwemo ya katiba, chama kiimarishe kitengo chake cha utafiti (kama kipo) ambacho kitakuwa na uwezo wa kutambua ni wapi resources gani zinatakiwa kwa kiasi gani, naimani baada ya miaka miwili kinaweza kuja na jina au kuipatia kamati husika hali halisi ya siasa nchini na akina nani wanakubalika wapi, kwa sababu mtu anaweza kukubalika alipozaliwa tu akajiona tayari ni presidential material.
 
Mkandara,unaweza kuonyesha tusi hata moja nililokutukana kama unavyodai?
Wee si umesema niache kupiga ramli? umeniona mpiga ramli au nazungumza ukweli ulokuuma wewe bila hata kufikiria possibility ya mambo haya kutokea na kwamba nawaasa kujitahadhali?.. Halafu sii umesema mimi nilikuwa napinga Dr.Slaa asigembee imekuwaje sasa? au kusema uongo nalo sio tusi...
 
Hivi hiki kipengele kiliwekwa chini ya utawala wa nani?

Manake kama ni utawala wa mwalimu ntashangazwa kidogo since yeye alitawala akiwa na miaka 33 as waziri mkuu na baadae urais kama sikosei.

Je kama ni yeye inawezekana aligunduwa hakutakiwa awe rais akiwa na umri huo?

Kama hili halikuwekwa chini ya utawala wa mwalimu then ni nani kati ya Makapa, na Mwinyi?

Nauliza kwasababu CCM imekuwa ikibadili katiba kwa kuki favor chama chao, nakumbuka walimbinya Mrema na kuongezea kile kipengele cha elimu na Mreema achakua sijui ni masters vile via corespondence or via mail...Na hata picha ya graduation yake iliyofanyika huko Kiraracha imo humu.
 
Back
Top Bottom