TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Nina wasiwasi ukuta wa JF Great Thinkers umepata nyufa. Kuna haja ya kuziba nyufa hizi.
Mkuu usitake kutuaminisha kwamba CDM inaongozwa na malaika kwa hiyo ikifika siku ya kumpata mgombea urais basi itapatikana tu! Kwa kuwa CDM haina mgombea urais aliyepitishwa kwa hiyo kila mtu ana nafasi ya kuomba ridhaa ya wana CDM wakati ukifika.Hii habari imekaa kama ya kuuzia gazeti, sikutegemea kama Mwananchi lingeripoti habari kama hii
Kwanza, muda bado na sidhani kama ndani ya CHADEMA kuna mwelekeo wa kimagamba
Wwaliotajwa mmoja kashawahi kugombea na mwaka jana akampa nafasi mwenzake, hata kama anapenda kugombea tena nafasi itapatikana bila zengwe, kupigana vikumbo ni habari ya udaku udaku na kimagamba magamba.
Zitto Kabwe alishasema hatagombea, na hata kama ikitokea akabadili msimamo na akawa na sifa binafsi na za kikatiba kugombea hahitaji kupigana vikumbo maana uwezo wake unajulikana.
Dr Slaa aligombea mwaka jana, uwezo wake unajulikana kwa watanzania, kama akiamua kutogombea tena ndani ya CHADEMA kuna hazina kubwa ya viongozi ukiachana na hao waliotajwa, swala la kupigana vikumbo halipo
Ni kweli, kama mi nisipopata kusikia dr slaa hagombei basi mi sitapiga kura2015Kwani mnamtaka Slaa tu ndio awe mgombea pekee wa urais Chadema?
Hakuna kitu kama hicho ndani ya Chadema kwa wakati huu, CCM wameanza kujihisi aibu baada ya kubainika ni wao tu wenye tamaa ya mzee fisi sasa wanahangaika kuwaambukiza wengine.
Wanataka tutoke nje ya ajenda za kitaifa.Kuna thread nyingine kule inaendelea
Siku hizi maoni ya watu yanafanywa heading kwenye magazeti. Au ndiyo mbinu za kuifanya CDM nayo ionekane ina migogoro kama CUF, NCCR mageuzi na CCM? Uzushi, hakuna mbio za urais CDM muda huu. Utaratibu wa kumpata mgombea ndani ya CDM upo wazi kabisa wala hatuna shaka na hilo. Magezeti yaache kuchochea vitu ambavyo havina msingi.
hamna hata mwenye sifa hapo. kuwa wabunge tu wameshindwa kuzuia nepotism, sasa wakiwa rais itakuwaje? think, tundu lissu=christina lissu, wilbroad peter slaa=rose kamili, zitto=some body, mbowe ndo usiseme.
Hakuna hata mmoja mwenye sifa hapo. nyerere amekaa 25years ikulu bila nepotism.
Kwani mnamtaka Slaa tu ndio awe mgombea pekee wa urais Chadema?
Una wazimu wewe aliyekwambia Mbowe ananunulika nia nani? Angekuwa hivyo CHADEMA ingeshauzwa long time, fanya research na kwa taarifa yako "no Mbowe no more chadema" Chama kinaendeshwa na Mbowe wengine woooote wanafuata ideas za Mbowe.Hivi kuna mzungu yeyote atakayethubutu kumnunulia suti Dr Slaa ili apate kibali cha kuendeleza biashara zake hapa? Je, Mbowe ana mshipa wa kukataa kununuliwa suti?
Ushauri wangu, Mbowe aachane kabisa na ndoto za urais kwa sasa, ajielekeze kwenye kuimarisha chama.
Ni vyema kujadili sasa ili waoplan kugombea wajue ni kiongozi wa namna gani tunayemuhitaji. Inawezekana wengine wakajiengua wenyewe tu kukosa sifa tunazozitaka na hivyo kuepusha migogoro inayoweza kuja kujitokeza huko mbele ya safari.
hamna hata mwenye sifa hapo. kuwa wabunge tu wameshindwa kuzuia nepotism, sasa wakiwa rais itakuwaje? think, tundu lissu=christina lissu, wilbroad peter slaa=rose kamili, zitto=some body, mbowe ndo usiseme.
Hakuna hata mmoja mwenye sifa hapo. nyerere amekaa 25years ikulu bila nepotism.