punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Jenga tabia ya kupenda kujisomea,hata magazeti,acha uvivu wa kitanzania kutopenda kusoma.Haya nimekutafunia kazi kwako kumeza tu...)
Kwa bandiko lako hili huwezi kujiita kuwa unapenda kujisomea, na kama unajisomea kweli huelewi hata hicho unachojisomea! Hapo umeona umejibu maswali niliyouliza kwenye post yangu?! Heche alilalamikia hiki ulichoweka hapa?! Hujui shibuda alimuomba nani kuwa meneja wake wa kampeni?! Narudia tena; Ikiwa hujui matamshi ya shibuda yanayolalamikiwa unawezaje kuwakosoa wanaomlaumu?! Kama una hata chembe ya uadilifu ndani yako rudia kusoma kwa makini ulichoweka hapa kunijibu utagundua kuwa shibuda ameyasema hayo baada ya kulaumiwa kwa yale aliyoyasema kabla. Na safari hii kamtaja Dr. Slaa ili kuifunika ile 'original' yake ya awali ya kumuomba mwenyekiti wa ccm taifa awe meneja wa kampeni zake!! Ndugu, kizazi hiki hata mkipindisha maneno vipi hatudanganyiki!