MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Kama ni mwanamke awe Prof Tibaijuka pekeyake ndio ataweza kupasuana vichwa na vichaa waliojaa hapa tanzania la sivyo hao wengine bado sana hawajakomaa kupambana na vichaa hawa na serikali hovyo hii!mtawapasua vichwa bure
Hapana alishindwa kuepuka tabia ya asili ya kabila lake alipokuwa UN-HABITAT!Simhukumu kwa sababu ya kabila lake ingawa kweli nina allege nalo,lakini alinifanya nimuone hana tofauti na wengine kibao tulionao maofisini! Kama ni mwanamke CCM bado hawajaiva!Kidooogo mama Ane Kilango Malecela!